ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
- Thread starter
- #21
wakati wewe unasoma btn the line mie nasoma on top of the line ndo maana naelewa, by the way sija-jump nimekaa.
kasema anawalipa hela, sasa utalipwa hela kama huuzi?
Aisee umenikumbusha ile issue ya 'DESERT' jinsi ulivyoielewa, mweeeeeeee! Facebook style. Nchi hii ina walimu tofauti sana wa kiingereza na matokeo yake ndo haya! Shida ya mfumo huria/holela.