Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,202
- 42,060
Za masiku?
Kijana anataka masingle nao wapike!
Lakini labda alitaka kumzungumzia watu fulan ambao wameolewa alaf wanafanya hivyo lakini ameshindwa!
Na hapo bado si tatizo maana walio waoa watakuwa wana kubaliana na maisha hayo!
Kijana anataka masingle nao wapike!
Lakini labda alitaka kumzungumzia watu fulan ambao wameolewa alaf wanafanya hivyo lakini ameshindwa!
Na hapo bado si tatizo maana walio waoa watakuwa wana kubaliana na maisha hayo!
ningeweza kumuelewa mwandish kama angeniambia ni watu wa aina gani ambao yeye anawaongelea. kama bidada hiyo ni hobi yake unataka ake numban kufanya nini? kuna watu hobi zao ni kwenda bar for a drink na kupiga story kuna wengine hobi ni kwena na hubbys maeneo yao kula bata sasa sijui wewe unasema haya kivipi.
mwanamke anajipamba na lazima aende salun swala la kunyonyesha nalo linaegemea kuna wengine wananyonyesha hata mika 3 lkn kwenye vitivirefu huwakosi inategemea tu ameschedule vip ratiba yake. manake anakamua maziwa anayaacha kwa ajili ya mtt.
haya ambao ni singles that is their time sijui kwanini unaumia sana ukawasahau vijana wanaoshinda wakicheza pool table siku nzima kijiwen huku wakigida mvinyo na manyama.