Wanawake wa namna hii huwa wananivutia sana

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,784
Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi, Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba. Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na nywele zao bado za asili...

Rai yangu: wanawake wa Kiafrika ni wazuri sana na Mungu aliwapendelea, msijiharibu ngozi zenu....

chrissete.jpg
main-black-hairstyles-2018.jpg
o-TAYLOR-ANISE-570.jpg
Finger-twist-Afro.jpg
Parted Afro.jpg
14907604_1267812893281267_8750479224746282738_n.jpg
 
Back
Top Bottom