Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Hivi ni kweli ukubwa wa uume ndio unaweza kumridhisha mwanamke kimapenzi au kuna la ziada?
Hivi ni kweli UKUBWA wa Uume Ndio Unaweza kumridhisha Mwanamke kimapenzi au kuna la ziada?
kweli kabisa mkuuMkuu hao ili waridhike lazima uwe na pesa kwanza wafeel safe kuwa na wewe na hii huchagizwa na confidence juu yako kwani wanaweza pata zawadi au fanya manunuzi ya mahitaji yao muhimu na ya ziada pia uwape security muhimu kama utoe malazi n.k!
Baada ya yote hayo kama una dushe ndogo au kubwa ni juu yako la msingi uweze kumgusa aone raha ya dunia mkiwa faragha.
Kuna wanawake ambao hufanya mapenzi kwa mioyo na sio mwili. Akijisikia kupendwa, na kuthaminiwa, na kuheshimiwa; utashangaa unaachwa hapo na limguu la mtoto na mwenye kibamia akakupiku.
Ni hiyo tu.
Uliyoandika ni kweli tupu, ila maandishi yako hapo mwishoni bado inaonesha usuperior wa limguu la mtoto kwa kibamia.
Kwahiyo ww hupendi madude makubwa kbs?Nimeutaja tu kwa kuonyesha kuwa limguu la mtoto haliwezi kushikilia mahusiano. Kudhani kuwa maumbile makubwa ya mwanaume ndio kigezo cha kupendwa, haina tofauti na kuwaza kuwa mwanamke mweupe, ama mwenye makalio makubwa ana nafasi kubwa zaidi kwenye mahusiano. Ama kuwa na gari kali, ama pesa; unaweza ukaachwa mataa na pesa zako ukashangaa marioo wa sinza anakupiga overtake
Kwahiyo ww hupendi madude makubwa kbs?
Nimeutaja tu kwa kuonyesha kuwa limguu la mtoto haliwezi kushikilia mahusiano. Kudhani kuwa maumbile makubwa ya mwanaume ndio kigezo cha kupendwa, haina tofauti na kuwaza kuwa mwanamke mweupe, ama mwenye makalio makubwa ana nafasi kubwa zaidi kwenye mahusiano. Ama kuwa na gari kali, ama pesa; unaweza ukaachwa mataa na pesa zako ukashangaa marioo wa sinza anakupiga overtake
Mmmmhhh apo kwenye makalio sikubaliani.wwweeeee makalio yananifanya niwapende zaidiNimeutaja tu kwa kuonyesha kuwa limguu la mtoto haliwezi kushikilia mahusiano. Kudhani kuwa maumbile makubwa ya mwanaume ndio kigezo cha kupendwa, haina tofauti na kuwaza kuwa mwanamke mweupe, ama mwenye makalio makubwa ana nafasi kubwa zaidi kwenye mahusiano. Ama kuwa na gari kali, ama pesa; unaweza ukaachwa mataa na pesa zako ukashangaa marioo wa sinza anakupiga overtake
Point yangu ni kwamba kukiwa na mwanaume A mwenye Upendo, kujali, mnyenyekevu mwaminifu anayekupenda kwa dhati nk ila ana kibamia na mwanaume B mwenye Upendo, kujali, mnyenyekevu mwaminifu anayekupenda kwa dhati nk ila ana limguu la kuku....... Yupi atakuwa Chaguo.
Yaani hao wanaume watofautiane kwenye dushe tu ila vingine vyote wafanane.