mkuu ni kweli kabisa, we fikiria mtu upo chumbani umishakula, unaangalia zako Taarifa ya habari, na ulikuwa ume-post uzi wa kutafuta mchumba tuseme JAMII FORUMS, wakati unachukua simu yako kuingia jf, unakutana na PM mnaanza kubadilishana mawazo kidogo then namba za simu, then kama mpo Whatsupp, mnatumiana Picha mbali mbali, mnapanga kukutana rasmi, mnakutana Inshallah kila mmoja anamwangukia mwenzake moyoni! yaani ni raha sana! achana na hawa wa mtaani kwanza wanaringa sana halafu wanajifanya hawana muda! Mitandao ya kijamii imesaidia sana ingawa wetu waliomo jf age imeenda sana.