Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
tupo wengiMi nishachoka vyakula vya mchuzi mchuzi
tupo wengiMi nishachoka vyakula vya mchuzi mchuzi
Kumbe na wewe ni wa kanda ya ziwa mpenzi wa sato
Umeona ee tuanze maandalizi mapemaaa,dalili ya mvua mawingu.Hujakosea 😛
Umeona ee tuanze maandalizi mapemaaa,dalili ya mvua mawingu.
mle mle!dec ifike tu...unagonga zako savvanah za kutosha weee unatafuna boonge ya sato..ukimaliza hapo ni kubang!
Kumbe ulipendekeza huko ukijua wapo sato wanachomwa vizuri ahhh nimeanza kuelewa kwann mlipendekeza huko na utazila kweli
Na mnaliwaje??Ugali wa dona,nyanya chungu na mboga za majani tunakula haswa sio kushindia chipsi na mihogo au mahindi ya kuchomView attachment 878721
Wanawake wa dar komenti zetu zinakaa humu??
Ugali wa dona,nyanya chungu na mboga za majani tunakula haswa sio kushindia chipsi na mihogo au mahindi ya kuchomView attachment 878721
Ugali wa dona,nyanya chungu na mboga za majani tunakula haswa sio kushindia chipsi na mihogo au mahindi ya kuchomView attachment 878721
nyie endeleen kula beef burger na viepe😎Oooohhh![]()
Fanyeni yote ila wanawake punguzeni vitambi na kuendekeza sana kula kula kama viwavi...kula nako ni starehe,sio mwanamke unakula kama ni adhabu,khaa!
Ewwww! Imeweza eenh?