Wanawake wa Mikoani mkoje?

Kama ni mtaani tu Mzigua! Nauli unaenda wapi.......mazoez siku moja moja bwna
 
ckwel
 
Jasiri haachi asili, nimeamua kurudi kwenye asili yangu!

Ila wanawake wa Darisalama wajanja sana, kuna kamchepuko kamoja kalikua kanaenda mkoani kwenye mechi ya ugenini, wakati wa kurudi kanajifanya hakana nauli nikatumie (sikumbuki kama niliwahi kutuma).
 
Nilikwambia usichukulie wanawake wa mikoani kama wa Dar ukajitia ohh mm mtoto wa mjini, ina sasa, nahio ni nauli bado mahari.
 
Hiyo research yako umeifanyia wapi? sample yako ilikua ni wanawake wangapi na kwa mikoa mingapi na ni mikoa ipi? naona umekuja na conclusion ya kuwajumuisha wanawake wote wa mikoani,bila shaka ulifanya research.
 
Nimekumiss njoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…