Wanawake wa makanisa ya kilokole

Wanawake wa makanisa ya kilokole

Ndiyo matatizo yenu vijana.Mkielekezwa maneno msiyoyajua mnaanza lugha za hovyo.Hadi umri huo mtu hajui maana ya mseto?Vema.Nimejaribu kukuelekeza kwa lugha ya picha weye umekuja na yako.Hivi unaishi na hao uliwataja chumba kimoja?Naona unawafahamu sana.
We una akili kweli, mtu ataulizaje kitu anakifahamu Juma Lokole ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana tatizo mbona tena ni wake wazuri tu wakuoa.
 
Habarini wadau,

Wale wanaume ambao ni waumini wa Katoliki au Lutheran ambao waliwahi kupata wachumba kutoka haya makanisa ya kilokole,ni changamoto gani mlipata kutoka kwa hawa wapendwa?

Angalizo: Kutotoa Tunda kabla ya Ndoa sio changamoto.
Mbuzi kwenye gunia.
 
Back
Top Bottom