Wanawake wa makanisa ya kilokole

Wanawake wa makanisa ya kilokole

Hajulikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
273
Reaction score
252
Habarini wadau,

Wale wanaume ambao ni waumini wa Katoliki au Lutheran ambao waliwahi kupata wachumba kutoka haya makanisa ya kilokole,ni changamoto gani mlipata kutoka kwa hawa wapendwa?

Angalizo: Kutotoa Tunda kabla ya Ndoa sio changamoto.
 
Habarini wadau,

Wale wanaume ambao ni waumini wa Katoliki au Lutheran ambao waliwahi kupata wachumba kutoka haya makanisa ya kilokole,ni changamoto gani mlipata kutoka kwa hawa wapendwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza huwa tuna funga nao ndoa inayoitwa MSETO.
Baada ya hapo huwa wanajisahau sana kwamba wameolewa na kujikita kanisani na wakitumia muda wao mwingi ambao walitakiwa wawe na waume zao ama watoto wao.
Hapo ndipo sasa sisi wanaume wa kikatoliki tunapo anza kuona kwamba ulokole unatuvunjia ndoa.
Baada ya hapo migogoro mikubwa huanza kuingia kwenye ndoa kwa kosa la mama kutoijua nafasi yake ndani ya ndoa, ambayo hupelekea mwanaume kuchepuka ama kuharibu ndoa
 
Kwanza huwa tuna funga nao ndoa inayoitwa MSETO.
Baada ya hapo huwa wanajisahau sana kwamba wameolewa na kujikita kanisani na wakitumia muda wao mwingi ambao walitakiwa wawe na waume zao ama watoto wao.
Hapo ndipo sasa sisi wanaume wa kikatoliki tunapo anza kuona kwamba ulokole unatuvunjia ndoa.
Baada ya hapo migogoro mikubwa huanza kuingia kwenye ndoa kwa kosa la mama kutoijua nafasi yake ndani ya ndoa, ambayo hupelekea mwanaume kuchepuka ama kuharibu ndoa
Ndoa ya mseto ndio inakuaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto kubwa waliyonayo walokole Ni kuongozwa na binadamu wenzao ambao wanaitwa wachungaji hata kwenye ndoa zao.
Hii inawapata hata wanaume lakini wanawake wanazidi.
Yaani mchungaji akiongea Ni Kama kasikia sauti ya Mungu imemuambia.
Kumbe Ni binadamu tu Kama yeye.
Na ukichukulia wengi wao wanakariri tu kila wanachoambiwa bila kutafakari basi Kama wewe sio mlokole lazima hiyo ndoa uivunje tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kama sio Juma Lokole utakua Lesbian
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo matatizo yenu vijana.Mkielekezwa maneno msiyoyajua mnaanza lugha za hovyo.Hadi umri huo mtu hajui maana ya mseto?Vema.Nimejaribu kukuelekeza kwa lugha ya picha weye umekuja na yako.Hivi unaishi na hao uliowataja chumba kimoja?Naona unawafahamu sana.
 
Back
Top Bottom