Wanawake wa kuoa

Wanawake wa kuoa

siku zote huwa siamini kama watu wa kabila fulani wanakuwa na tabia zinazo fanana
 
Wana-JF, naomba mwenye hekima aseme ni kabila lipi hapa Tz mabinti wake wana sifa nzuri za kuwa wanawake wa ndoa (wake)....? achilia mbali tabia za mtu mmoja mmoja kiujumla yaan...?

kwan wewe ni kabila gani ..?
 
Tuondolee lawama humu, hebu changamsha balls zako huko...Unakuwa kama mbwa unataka kusakiziwa.

Kabila la mtu sio lebo kama zilivyo nguo na viatu kutambulisha ubora wa mke mwema,basi kila mtu angekuwa anatembea amejibandika kwenye paji la uso.

Huku kujifanya unatafuta kabila la kuo ni kutapatapa na kujsribu mbinu ambayo wenzako waliitumia mwaka -47.

Sipendi ukabilaaaaa!

Kaktaliwa kuoa kabila lake huyu bwana, maan ni zuri tu ila mwiko kuoa la kwao.
 
oa mke..sio kabila..ama sivyo kaoe ulaya Tanzania na makabila havitengani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom