Wanawake wa kuoa

Wanawake wa kuoa

jiji la dar es salaam ndio jiji pekee linalotoa wake bora Tanzania..

sababu kuu ni kuwa, hakuna ukabila, halali mtu, pesa inasakwa kama wezi wa EPA na richmond, kila siku ni sikukuu hivyo lazima uwe na pesa la sivyo huna mke, maisha ya wanawake wengi ni show off kama wako hollywood, kabila la dar es laam ni mchanganyiko -- baba msomali mama mjerumani!

hebu kaa ufikirie hayo maneno --- usikurupuke!
 
Ngiishi kishaka....

CC; Excel tunabadirika kutokana na mazingira..

hahahaaa!! naona tian kawa mpooole mbele ya mchungaji!

chezea mla nyama wewe!!

(mkuu sorry, nashindwa kupata notifications kwa muda muafaka!... imagine kuanzia saa tatu, hio mention sasa saa 5!)
 
Last edited by a moderator:
Just pray....Muombe Mungu akulocate kwa mwanamke unaemtaka, atakupa mke perfect
 
Inaonekana hujawa tayari kuoa. Kwasababu kabila haiwezekani kuwa kigezo cha kuwa mke mwema..
Vyema umuhusishe Mungu kwenye hili
 
hahahaaa!! naona tian kawa mpooole mbele ya mchungaji!

chezea mla nyama wewe!!

(mkuu sorry, nashindwa kupata notifications kwa muda muafaka!... imagine kuanzia saa tatu, hio mention sasa saa 5!)

Hahhaha.....Aaahh wapi
 
Last edited by a moderator:
mmhh sikuhiz wanaume kwa kupenda urahisi lol!! umiza kichwa mwenyew banah!
 
Hahhaha.....Aaahh wapi

toto lo uru ilo!

paja paja mama! utadhani kasingiziwa! kumbe wala, ndo yeye! hips dont lie! ... ukicheka ntacheka! ukisimama nacmama!
 
Njoo umasaini,,kwenye visura wa ukwel wasiohtaj gharama za kusuka nywele...ni vpara kwa kwenda mbele, and they stl lukn nice!.
 
toto lo uru ilo!

paja paja mama! utadhani kasingiziwa! kumbe wala, ndo yeye! hips dont lie! ... ukicheka ntacheka! ukisimama nacmama!

Excel una mambo ww
 
hahahaaa!! naona tian kawa mpooole mbele ya mchungaji!

chezea mla nyama wewe!!

(mkuu sorry, nashindwa kupata notifications kwa muda muafaka!... imagine kuanzia saa tatu, hio mention sasa saa 5!)

Nilikuwa na pasha pasha na hawa wa watoto wa moshi...

Kweli notification tabu toka juzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom