Jackson996
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 821
- 1,375
Ila ujana una hatari nyingi sana [emoji1][emoji1] mimi nilikuwa naenda kumlia demu kwao [emoji1] nikikumbuka uwa najiona fala sana
Nilikuwa nina demu wangu kipindi icho sina ata hela ya gest na ninakaa hom..demu bi mkubwa anaduka kariakoo mshua Mshua wake yupo Tanrods kwaiyo ratiba zao demu alikuwa anazijua na demu mara nying alikuwa ijumaa anakuwa free aendi chuo na wazee wake walikuwa watu wa tungi sana iyo weekend kurud n saa 7 kuendelea
Basi mtu mzima ilikuwa kila ijumaa naingia kama kwangu vile uzur walikuwa wanakaa ushuan nyumba get hamna ujiran [emoji23] basi nikifika napikiwa mapochopocho kama yote najiachia kama kwangu [emoji23][emoji23][emoji23] siku iyo bana nimefika nimejiachia kama kawaida mara tunaskia oni getin demu akashtuka baba akanichukua akanipeleka chumban kwake nikaingizwa chin ya uvungu wa kitanda (kiukwel mda uwo sielewi ata dunian kinaendelea nini yan natetemeka jasho lina nitoka). Demu akatuka kumfungulia mshua akaingia (kumbe Mzee alikuwa anatakiwa asafiri mchana uwo kunadharula)Mzee akauliza Kama kuna msosi akapewa akala akaoga akachenj nguo akasepa [emoji3062] demu anakuja kunitoa chin ya uvungu nimelowa jasho natetemeka alafu lenyewe Linacheka Kama fala [emoji1][emoji1][emoji1]
Nilikuwa nina demu wangu kipindi icho sina ata hela ya gest na ninakaa hom..demu bi mkubwa anaduka kariakoo mshua Mshua wake yupo Tanrods kwaiyo ratiba zao demu alikuwa anazijua na demu mara nying alikuwa ijumaa anakuwa free aendi chuo na wazee wake walikuwa watu wa tungi sana iyo weekend kurud n saa 7 kuendelea
Basi mtu mzima ilikuwa kila ijumaa naingia kama kwangu vile uzur walikuwa wanakaa ushuan nyumba get hamna ujiran [emoji23] basi nikifika napikiwa mapochopocho kama yote najiachia kama kwangu [emoji23][emoji23][emoji23] siku iyo bana nimefika nimejiachia kama kawaida mara tunaskia oni getin demu akashtuka baba akanichukua akanipeleka chumban kwake nikaingizwa chin ya uvungu wa kitanda (kiukwel mda uwo sielewi ata dunian kinaendelea nini yan natetemeka jasho lina nitoka). Demu akatuka kumfungulia mshua akaingia (kumbe Mzee alikuwa anatakiwa asafiri mchana uwo kunadharula)Mzee akauliza Kama kuna msosi akapewa akala akaoga akachenj nguo akasepa [emoji3062] demu anakuja kunitoa chin ya uvungu nimelowa jasho natetemeka alafu lenyewe Linacheka Kama fala [emoji1][emoji1][emoji1]