Wanawake wa kisukuma wanatabia zipi...

Wanawake wa kisukuma wanatabia zipi...

Ila wanawake wa kisukuma wamegawanyika sehem kama tatu
 
Moja ni wanyantusu hawa ni wabaya sana wanapenda kumwendesha mwanaume hawanatofauti na wamachame wanawake.
Kuna wasukuma wa magu kama asili hawa ni wazuri Mara nyingi sio weupe kama wale wa bariadi ambao ndio wanyantunsu
 
Wanawake wa kisukuma kutoka shinyanga ndio wana tofauti.
Chuoni nilikaa na mmoja wao, sitakaa nimsahau.
Pia wanawake wa kisukuma wanapenda weupe wa kununua sana.
 
Moja ni wanyantusu hawa ni wabaya sana wanapenda kumwendesha mwanaume hawanatofauti na wamachame wanawake.
Kuna wasukuma wa magu kama asili hawa ni wazuri Mara nyingi sio weupe kama wale wa bariadi ambao ndio wanyantunsu


Hahahahaaaaaaaa chezea mwanamke wakinya Ntuzu Wewe?

Ubaya wao nini Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Wengi wao wana drama/visa.
Ni ukwel kabisaaaaa..ninademu wang wa huko hko shy.toka 2009 mpaka leo.yani nashindwa kumuelewa nimueke kundi gan.maan anamambo ya chinichin..roho ngumu na mahasiraa...hana huruma kabisaaa.na hata kujali hajui..
 
Back
Top Bottom