Wanawake wa Kikenya


ni kama wamachame tu. Ongea na mtu alieoa mmachame atakusimulia
 
mkuu unaweza kufafanua kidogo hiyo comparison ulioshauri hapo juu?

Kaka stop being dramatic, wewe unaoa msichana au NCHI/Kabila?? kila binadamu anazaliwa na kuwa na personality yake kutegemea na maonjo yake na mazingira aliyokulia. Kuna mapungufu na strenghts, cha msingi we analyse uone kama huyo 'mtuhumiwa' ana persona unayoona inavumilika au la. Kwisha habari.
 

Ahsante sana kwa ushauri wako, mkuu!!
 

Jambo la msingi kuzingatia
 

Well said
 
Bwana tusilembeshane hapa hawafai kuolewa TZ hao bana aaa
 
Inategemea mie wangu ni Mkenya na anatabia nzuri tu hana makuu na malove anayajua vilevile.
Mademu wengi wa Kikenya wanapenda wanaume wa Kibongo sababu njemba za kikenya hazijui kubembeleza totoz.:A S thumbs_down:
 
Mambo yte umeridhika bado tabia tu??? Kitandani vipi?? Jikoni?? Makaribisho??? Twanga mbele kama yuko sawa kwa hivyo! Make tabia ni vigumu kuhukumu kwa sasa, maa akina dada mara nyingi kama wameahidiwa kuolewa kamwe huwezi kumwona kasoro ya kitabia. Anajaribu sana kuwa kama kobe., huficha makucha yake. Baada ya ndoa tu, anaanza kutoa tabia moja baada ya nyingine.
 

Nimeona wabongo wengi wanaoa au kuzaa na waganda na sio wakenya sijui kwa nini?
 
Inategemea mie wangu ni Mkenya na anatabia nzuri tu hana makuu na malove anayajua vilevile.
Mademu wengi wa Kikenya wanapenda wanaume wa Kibongo sababu njemba za kikenya hazijui kubembeleza totoz.:A S thumbs_down:

Wana commanding language
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…