Wanawake wa kigoma balaa!

Mpe pole sana mwambie hapana chesea watu ya Kigoma
 

HIi hata Bagamoyo kwa JK ipo sana.
 



Waisambaze hiyo janja tuangamize ukimwi ndani ya ndoa

Porojo jazz band
 

Mi natafuta niweke kwa demu wangu akitoka nje kiwe kinaziba
 
Dawa hiyo na ile ambayo ukitoka nje ya ndoa mpenzi wako ananuka mavi mbona kigoma zipo tu na ni mambo ya kawaida. Wanaozitaka tembeleeni maeneo ya Gungu, Buzebazeba, Mlati, Mwandinga. Ukitaka kali zaidi nenda kasulu na kibondo wao wanazunguka nyuma ya nyumba na kuchimba mizizi kisha unapewa. Nadhani ndio maana mkoa wa kigoma RATE YA MAAMBUKIZI YA UKIMWI NI NDOGO labda tuseme hivyo.
 
duh hii kali ... je kwa wakinamama nao wakitoka inakuwaje???
 
Kuna mmoja anaitwa mama ronaldo ni balaa mdada hatari sana kitu tigo k kwa mkeo we mulize mtu yeyote wa kigoma kuna mkuu wa wilaya alimwacha mke.

kaka hiyo ni kweli kabisa anapenda kukaa safari baa,sandra na stanley ila anatisha mtoto ana ngozi nyororo **** la kutosha pia usimshahau pendo wa datalink
 
Uwii hiyo dawa na mi naitaka sana nikiolewa duh nimeipenda sana.
 
haya mambo si kigoma tu. Kuna watu waliekeana yamini na wapenzi wao enzi za balehe na mapenzi ya utoto, wakakua, wakatengana. Waliteseka sana kuondoa hayo manuwio ya kigiza giza sababu waliekeana kwa waganga.
 
Bila shaka huyo dem ni wa GUNGU, UJIJI au MWANGA mtaa wa simu.
Mwambie siku nyingne aangalie na maeneo ya kuoa.
 
Nae kashaoa atulie kwa mkewe si kuhangaika. Huyo mwanamke wa kigoma nae ajiamini sio kuchanganya na madawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…