Nashkuru kwa maoni yenu yote ni katika kujifunza, lakini kumbukeni aulizae si mjinga ila anataka kujua haijalishi swali limekaaje ilimradi lime eleweka, nikweli kwamba nimekwisha muliza lakini nae hajui chimbuko lake latoka wapi, anacho jua ni kwamba babu zake walitokeaga mwanza na aliambiwa yeye ni mzinza, cha zaid hakuna,
Halafu kua na uchumba haimanishi yakua lazima muwe mmeisha tambulishana kwa wazazi yaweza kua ni wachumba na ndo mko kwenye harakati za kwenda kutambulishana, ko naweza nkawa nauliza npate kujua nijiandae vipi nisti aibu, maana makabila mengine unaweza ukapeleka zawdi ikawa ni dhihaka ao ukase manono ao ishara ambazo ni matukano kwao,
Lakini pia kunawengine washa owana na washa zaa ndo kwanza wana enda kwa wazazi kutambulishana,
kuuliza kwangu kumetokana na kwamba huyu mpenzi wangu sio mtu anae penda kusimulia sana mambo yake anakotoka mila zao nikimuliza annjibu kiufupi ufupi yameisha,
na pia nimeuliza hivyo nipate jua namna walivyo kitu ambacho kinaweza kunisaidia kuepusha mitafaruku mbalimbali, kwasabu kuna mwengine anaweza fanya kitu ukamwonya mara moja mbili na bado akakirudia kumbe ni asili yao, unapo mjua mtu kiundani si rahisi kumfanyia makosa ao kumwekea hisia mbaya kwasbu tayari unamjua,
Ko wenye moyo wa kunipa mawazo karibu, we unae ona naku boa acha tu,