Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'?

Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikupm bby nipe password yako niende nao sawa.
 
Nimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.

Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!

Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.

Nyie ndio kimbilio letu hapa JF

Sent using Jamii Forums mobile app


Steve Nyerere kawakataza. Yeye ndiyo kiongozi wa makuwadi hapa Tanzania, kama mademu hawataki kumtumia wanasuswa na jamii.
 
Hapo sipakumbuki vzur ila nakumbuka dogo alikua amevimba mbaya, akatolewa nnje na wahuni wake na wheelchair kaenda kuvuta sigara nnje anakutana na hank nae analetea hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hapo hapo alipotolewa nje akakutana na ambulance inamleta hank. Sasa kuna muuguzi mmoja alikuja kumwambia "sorry sir you can't smoke here" Pinkman na ule msauti wake wa kukwaruza alimjibu "So roll me further b.itch".

Hua nacheka sana nikiikumbuka ile part

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hapo hapo alipotolewa nje akakutana na ambulance inamleta hank. Sasa kuna muuguzi mmoja alikuja kumwambia "sorry sir you can't smoke here" Pinkman na ule msauti wake wa kukwaruza alimjibu "So roll me further b.itch".

Hua nacheka sana nikiikumbuka ile part

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhah pinkman kacheza kihuni sana ile season, ameliyumia sana neno biiiiiitch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah unatuonea bure dada angu. Mfano kama mimi simu yangu imekataa kabisa kuonesha notifiction za jf.

Nilishafuta app na kuinstall tena ila wapi...


Sasa katika mazingira kama hayo nikimtumia mtu PM akinijibu sitojua. Mpaka nije niingie tena Jf ndio nitaona...
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'?

Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.

Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Doh...

We nawe unafanya maisha yetu yawe magumu dada angu...
 
sjajua unatumia JF web au JF app,,kama unatumia app asee mtu anaweza kukuPM leo afu msg ikakufikia kesho kutwa(in case ndo mara ya kwanza kuPM na huyo member). kwa hyo unakuta hata yule alokuPM hajaona msg yako uliyo reply na sio kwamba kakaa kmya No.

sasa tena kuna ishu ya JF app kutokuonesha notification asee inaboooohaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee nilidhani hili tatizo ninalo peke yangu.
 
Back
Top Bottom