Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Mwanangu hela yote uliyopiga na Jesse Pinkman bado tu unanyamazia watu
Nje ya mada, Jesse Pinkman na Mr White wameitendea haki ile movie. Nimeingalia kama mara mbili hivi, kuna scenario Jesse yuko hospitali baada ya kupigwa na Hank. Jesse alikua anavuta sigara eneo ambalo haliruhusiwi muuguzi mmoja akaja kumwambia hutakiwi kuvutia hapa,, ha ha hilo jibu la Pinkman ni balaa!!

Unaikumbuka hiyo sehemu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.

Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!

Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.

Nyie ndio kimbilio letu hapa JF

Sent using Jamii Forums mobile app

Hawawezi kukujibu kwa sababu hawawezi kukuroga kupitia PM ya JF, waoa wanataka muonane ana kwa ana ili wakuroge uwe kitega uchumi wao.
 
Nje ya mada, Jesse Pinkman na Mr White wameitendea haki ile movie. Nimeingalia kama mara mbili hivi, kuna scenario Jesse yuko hospitali baada ya kupigwa na Hank. Jesse alikua anavuta sigara eneo ambalo haliruhusiwi muuguzi mmoja akaja kumwambia hutakiwi kuvutia hapa,, ha ha hilo jibu la Pinkman ni balaa!!

Unaikumbuka hiyo sehemu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sipakumbuki vzur ila nakumbuka dogo alikua amevimba mbaya, akatolewa nnje na wahuni wake na wheelchair kaenda kuvuta sigara nnje anakutana na hank nae analetea hospital

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli na sasa hivi ndio zao, ilishawah kukukuta nini hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Imemkuta mfanyakazi mwenzetu baada ya kuchotwa akili na demu wake wa pembeni (Mpare/Mchagga)....jamaa alimwacha mkewe wa ndoa na watoto karibia mwaka mzima. Ndugu wakachunguza wakaambiwa alilishwa LIMBWATA na huyo demu. Wakamuokoa kwa njia wanayojuwa wenyewe, jamaa alipozinduka akakiri kuwa alikuwa hajuwi kama aliisaliti familia yake na hakujuwa kwanini alikuwa anaishi na yule changudoa wa Kilimanjaro.
 
Imemkuta mfanyakazi mwenzetu baada ya kuchotwa akili na demu wake wa pembeni (Mpare/Mchagga)....jamaa alimwacha mkewe wa ndoa na watoto karibia mwaka mzima. Ndugu wakachunguza wakaambiwa alilishwa LIMBWATA na huyo demu. Wakamuokoa kwa njia wanayojuwa wenyewe, jamaa alipozinduka akakiri kuwa alikuwa hajuwi kama aliisaliti familia yake na hakujuwa kwanini alikuwa anaishi na yule changudoa wa Kilimanjaro.
Duh! Hata madem wa tanga ndio zso! Ila sasa hiv ni wote tuu haiangalii kabila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna changudowa ya kisukuma imo humuu JF, nitaitafutiaga muda yake niiivueage nguo muhadharani
Imemkuta mfanyakazi mwenzetu baada ya kuchotwa akili na demu wake wa pembeni (Mpare/Mchagga)....jamaa alimwacha mkewe wa ndoa na watoto karibia mwaka mzima. Ndugu wakachunguza wakaambiwa alilishwa LIMBWATA na huyo demu. Wakamuokoa kwa njia wanayojuwa wenyewe, jamaa alipozinduka akakiri kuwa alikuwa hajuwi kama aliisaliti familia yake na hakujuwa kwanini alikuwa anaishi na yule changudoa wa Kilimanjaro.

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Back
Top Bottom