WANAWAKE WA DAR!

WANAWAKE WA DAR!

"Anafurahia kukutamani pekee wala siyo kukupenda kwa dhati"

Na ninyi kwanini muwe kimahusiano na Mwanaume asiyejitambua kiasi hicho lkn?

Mwanaume yupi rijali anayejielewa kimaadili mema akapendezwa na Mke/Mchumba/Mpenzi wake atembee uchi barabarani au mitaani?

Vaeni kikahaba/kimalaya mkiwa vyumbani mwenu na Wanaume/Waume/Wapenzi wenu lkn si mbele za watu, la sivyo kwa 100% kiakili ni lazima Mwanaume anayejitambua akutafsiri unafanya biashara ya matangazo ya mwili wako ili waje Wanaume wahuni wakununue/wakuhonge ufanye nao ukahaba/umalaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh sawa asante kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooh sawa asante kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena Mama, tena ukiona ameshaanza kukuletea huo ujinga basi ni heri ukaanza tu kujiachia pole pole ukijua hapo tayari huna chako zaidi ya kupotezewa muda tu.

Na Wanaume hufanya kukusifia ukiwa ktk hali km hiyo sababu anaelewa kusifiwa ni sehemu 1wapo ya udhaifu wenu kwetu Wanaume, so ni heri azidi kukusifia ili uzidi kuwa naye karibu hasa kimapenzi lkn rohoni mwake tayari kashakutoa kabisa kihisia kwa mtizamo wa maisha ya baadaye.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu tena Mama, tena ukiona ameshaanza kukuletea huo ujinga basi ni heri ukaanza tu kujiachia pole pole ukijua hapo tayari huna chako zaidi ya kupotezewa muda tu.

Na Wanaume hufanya kukusifia ukiwa ktk hali km hiyo sababu anaelewa kusifiwa ni sehemu 1wapo ya udhaifu wenu kwetu Wanaume, so ni heri azidi kukusifia ili uzidi kuwa naye karibu hasa kimapenzi lkn rohoni mwake tayari kashakutoa kabisa kihisia kwa mtizamo wa maisha ya baadaye.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana mimi nimejiweka kwako baba mwanaume unayejielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hewa unapataje huku umejigubika mnguo!!!

Mmmh! hiyo hewa inatakiwa wakati wa ujauzito tuuu, halafu, kwani kujisitiri ni lazima iwe gubigubi mkuu! au mimi sijui maana ya kujisitiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom