Nakubaliana na wewe mleta mada.Niwapongeze kwa kuipenda miili yenu,wanawake wa dar mkitembelea mikoani mnakuwa na mionekano tofauti na wa huko mikoani.
Wengi wanawaamini katika sekta ya kujiremba na pia kukiwa na sherehe mikoani ninyi wanawake wa dar endapo mkiwa huko mikoani mnapewa sekta ya mapishi na mapambo
Hongereni sana wanawake wote wa dar
Hahaaa. Kwa wanawake sio sana wangekuwa wamesifiwa wanaume ndio pasingetosha.Ngoja nione mapovu kwanza ya wasio wa dar
Ila kweli wangeambiwa wao.......kuna wanaume humu wangetokwa na mapovuHahaaa. Kwa wanawake sio sana wangekuwa wamesifiwa wanaume ndio pasingetosha.
Du Kama Uasfi una utafsiri kwa kuonekana Mweupe na Mabaka kwenye Joint vidoleni basi Umepatia ila wakati huo huo Kama Usafi unaupima kwa Kuosha Papuchi Mbona utafiti unaonesha klwa wanaongoza kwa kuugua Magonjwa ya Zinaa na UTI.Niwapongeze kwa kuipenda miili yenu,wanawake wa dar mkitembelea mikoani mnakuwa na mionekano tofauti na wa huko mikoani.
Wengi wanawaamini katika sekta ya kujiremba na pia kukiwa na sherehe mikoani ninyi wanawake wa dar endapo mkiwa huko mikoani mnapewa sekta ya mapishi na mapambo
Hongereni sana wanawake wote wa dar
Tena povu lao lisingekuwa la nchi hii. Mana hadi vibamia vingehusishwa.Ila kweli wangeambiwa wao.......kuna wanaume humu wangetokwa na mapovu
Du Kama Uasfi una utafsiri kwa kuonekana Mweupe na Mabaka kwenye Joint vidoleni basi Umepatia ila wakati huo huo Kama Usafi unaupima kwa Kuosha Papuchi Mbona utafiti unaonesha klwa wanaongoza kwa kuugua Magonjwa ya Zinaa na UTI.
Wadad wa Miikoani ni Wazuri naWasafi kwa kuwa hawatumiii mikorogo au vipodozi vya aina yoyote.