Wanawake wa dar bana...@

Wanawake wa dar bana...@

ndusyepo

Senior Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
167
Reaction score
50
uko na mwanamke kwenye mahusiano hata wiki haijaisha unakuta anaanza kukubomu mara anataka pocket money kwa ajili ya matumizi madogodogo mara mama yake anaumwa zinatakiwa hela za matibabu mara ooh baby simu yangu hii inasumbua sana so ninunulie nyingine bby tena isiwe ya button nataka touch-screen eeh jamani wakina dada tutafika kweli kwa mwendo huu?
 
sasa unataka amuombe nani? ukishindwa majukumu utasaidiwa. ukiona auwez kusaidia tafuta size yako.

unajua kabisa binti hana uwezo na awez kuomba kila kitu kwa mzaz. hivo ni wajibu wako kutunza siyo mizinga.

usione vyaelea vinaundwa.
 
Ukute uliombwa 50000 tu unaanza kulalamika,sie tunaohonga milioni kila wiki tuko kimyaa...!!piga kazi upate hela nyingi chukulia vibomu kama challenge na machaguo yanaongezeka, Nyie ndo walee kila siku mnatuhesabia tu mara ooh nmetoka na Wema,mara oh... Natoka na Madame B kumbe mwenzio naumia ndani kwa ndani tu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ulizani kiti hicho kwamba ukikaa hadi uinuke au uinuliwe basi jua ilo ndio jukumu lako!!! Acha ujinga wewe
 
mambo yamekuwa mambo mmmmmh kumbe wapo wanaume suruali kama wasemavyo wanawake wa uswahilini kwetu.
 
Mwanamke sio wakuridhika hata umpe nn?
-Unaweza ukamsugua papuchi yake vzuri akakusaliti
-Unaweza ukampa hela na bado akakusaliti
 
Back
Top Bottom