Pole, umeshaliwa Shilingi ngapi mkuu?
WTF ndo nnWTF!
sijasema mwanamke au mpenzi wako usimpe pesa nachosema mtu ndo mnaanza kujuana anaanza vizinga hapohapoSiku hizi bila pesa hakuna mapenzi ndugu mwamke gani anapenda kulala njaa wanatafuata penye udongo Wa rutuba
Fuuuck off mkuuNjoo ila uwe radh kutimiza hisia zangu muda wowote napohitaj
WTF ndo nn
Basi mkuu wacha niseme ni mimi yamenitokea, vipi hapo si safiYaani humu kila anayepost husingiziaga rafiki yake. Duh!
Hapo nmekuelewa mdau. Madem wanapenda pesa. Avoid wa namna hiyoBasi mkuu wacha niseme ni mimi yamenitokea, vipi hapo si safi
I like your arguments baeleze batoto bajue, mapenzi ni win win situation. Kizuri gharamaNielewe vizuri upendo sio pesa ila pesa inamchango kwenye kupendwa na kupenda.
Pia elewa,
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake na hapo inategemea huyo mbuzi kafungwa wapi.
Bakhresa atakula vya levo yake na mimi nitakula vya levo yangu na wewe Utakula vya levo yako.
Hakuna upendo usio na sababu mzee. Hakuna mtu wa kukupenda from no where tu mzee.
Chukulia instance hii.
: mwanamke kapendwa na mtu mwenye pesa na kapuku. Wote wanamjali, wanamheshimu na kumthamini. Na mwanamke pia anawapenda wote. Ila jamaa wa pili hawezi kumhudumia mtoto kama anavyofanya jamaa wa kwanza. Nani atamchukua mtoto?
Waambie kabisa hili tatizo ni kubwa sana, wapo kama 2 ilibidi niwaambie waje kwangu wapaone na mali nlizonazo hii ni baada ya kushtuka kuwa wanataka pesa tu alikuja mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa muda wake wakakubali maisha nliyonayo maana hawakutegemea kuona vitu vikali maana ilinilazimu kuwaonyesha kadi za gari na hati za nyumba original sio copy, baada ya siku 3 wakaanzisha story ya kutaka nimpe hela afanye shoping mwingine eti nyumbani kuna tatizo nimpe laki 4. Ni hatari sana, nafaham wamo humu watasoma hii post yangu waweke picha walizopiga nyumbani kwangu kwa uhahidi. Pesa bhana ni shida, nlianza sasa kumwambia tukamilishe wakaanza kuzungusha ila pesa wanataka watatue matatizo yao, lengo langu nlitaka nimpate mmoja tu aliye serious ndo nimchukue ahaha nliamua kuwaacha kabisa sasa hivi natafuta kwingine sio hapaWanawake wa humu ndani acheni tabia zenu za kujifanya mko serious kutafuta wachumba kumbe mnajiuza, utasikia hebu nipe kwanza nijue namna ulivyo na sie tunawajaribu kwanza siwezi kukuambia ukweli sasa kamwanamama ka JF ukikaambia tu hauna kazi una mishemishe zako za kitaa hakakutafti tena kumbe mmekaa ki maslahi zaidi, acheni hizo wahudumieni waume zenu
I like your arguments baeleze batoto bajue, mapenzi ni win win situation. Kizuri gharama
Waambie kabisa hili tatizo ni kubwa sana, wapo kama 2 ilibidi niwaambie waje kwangu wapaone na mali nlizonazo hii ni baada ya kushtuka kuwa wanataka pesa tu alikuja mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa muda wake wakakubali maisha nliyonayo maana hawakutegemea kuona vitu vikali maana ilinilazimu kuwaonyesha kadi za gari na hati za nyumba original sio copy, baada ya siku 3 wakaanzisha story ya kutaka nimpe hela afanye shoping mwingine eti nyumbani kuna tatizo nimpe laki 4. Ni hatari sana, nafaham wamo humu watasoma hii post yangu waweke picha walizopiga nyumbani kwangu kwa uhahidi. Pesa bhana ni shida, nlianza sasa kumwambia tukamilishe wakaanza kuzungusha ila pesa wanataka watatue matatizo yao, lengo langu nlitaka nimpate mmoja tu aliye serious ndo nimchukue ahaha nliamua kuwaacha kabisa sasa hivi natafuta kwingine sio hapa
Waambie kabisa hili tatizo ni kubwa sana, wapo kama 2 ilibidi niwaambie waje kwangu wapaone na mali nlizonazo hii ni baada ya kushtuka kuwa wanataka pesa tu alikuja mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa muda wake wakakubali maisha nliyonayo maana hawakutegemea kuona vitu vikali maana ilinilazimu kuwaonyesha kadi za gari na hati za nyumba original sio copy, baada ya siku 3 wakaanzisha story ya kutaka nimpe hela afanye shoping mwingine eti nyumbani kuna tatizo nimpe laki 4. Ni hatari sana, nafaham wamo humu watasoma hii post yangu waweke picha walizopiga nyumbani kwangu kwa uhahidi. Pesa bhana ni shida, nlianza sasa kumwambia tukamilishe wakaanza kuzungusha ila pesa wanataka watatue matatizo yao, lengo langu nlitaka nimpate mmoja tu aliye serious ndo nimchukue ahaha nliamua kuwaacha kabisa sasa hivi natafuta kwingine sio hapa
Kabisa nimeona aiseeHehehehe tafuta mtaani tu mkuu humu ujue hautakuwa peke yako
Njia unayotumia si ya wakati huu, ni ya enzi zetu. Njia nzuri ya wakati huu kutafuta mchumba weka pesa mbele na ukiwa naye jaribu kuchunguza ni yupi anakufaa. Je, mawazo yake ni kwenda kuzitumia au ni kukushauri zijenge future. Ukimweka katika kikaango akakaangika basi huyo ni wife material. Uzoefu unaonyesha kuwa ili umpate bibie lazima utangulize fedha maana hata yeye hayupo sure kama unataka kuchukua jumla au ni chovya chovya.Waambie kabisa hili tatizo ni kubwa sana, wapo kama 2 ilibidi niwaambie waje kwangu wapaone na mali nlizonazo hii ni baada ya kushtuka kuwa wanataka pesa tu alikuja mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa muda wake wakakubali maisha nliyonayo maana hawakutegemea kuona vitu vikali maana ilinilazimu kuwaonyesha kadi za gari na hati za nyumba original sio copy, baada ya siku 3 wakaanzisha story ya kutaka nimpe hela afanye shoping mwingine eti nyumbani kuna tatizo nimpe laki 4. Ni hatari sana, nafaham wamo humu watasoma hii post yangu waweke picha walizopiga nyumbani kwangu kwa uhahidi. Pesa bhana ni shida, nlianza sasa kumwambia tukamilishe wakaanza kuzungusha ila pesa wanataka watatue matatizo yao, lengo langu nlitaka nimpate mmoja tu aliye serious ndo nimchukue ahaha nliamua kuwaacha kabisa sasa hivi natafuta kwingine sio hapa
Ni miongoni mwao nnHuhuhuhu! Napita tu