Wanawake tutambue thamani yetu

Wanawake tutambue thamani yetu

Habari wana JF,

Naimani wote muazima kwa uweza wa mwenyezi Mungu,

Nje hovyo anaestaili kuyaona ni mumeo aliekuoa ndio maana wanaume wanatuzarau sana na tunajidanganya kuvaa nguo za kuonyesha maungo yetu sio kwamba ndio tunafanikiwa kupata mume tutaishia kufunuliwa na kuachwa pia hata ukiolewa utaolewa na mwanaume mwenye akili kama zako huwezi kuolewa.
Hapa sijui kama utaeleweka.
 
Uliongea vya maana hadi hapo ulipofikia kwenye kuomba pesa, mtu kama hatambui wajibu wake basi anafundishwa wajibu wake.

Ni kwanini linapokuja suala la pesa ndipo mnapoona mtu anajishusha thamani ilihali nguo mnavuana vizuri tu, kati ya kuvuana nguo na kuomba pesa kipi cha thamani zaidi?
 
Ushasema nchi za kibepari ila hapa ni Tanzania kila nchi inamaadili yake Na tamaduni zetu pia sio heshima uko nchi za wenzetu hizo nitamaduni zao ndio maana unaweza kuta binti kavaa nusu uchi kabisa kakaa Na baba yake je hapa inawezekana
"Utamaduni wa mtanzania" ni upi?
 
Ingawa haya mambo hayana formula ila bandiko zuri sana hili.. Lakini jua fika hapo kwenye pesa utanangwa sana na wa jinsia yako!

Ila penye kutuzungusha inategemea...mi siwezi vumilia sana labda kwa kiasi.
 
Kama mtanzania lazima ujue tamaduni zenu kama hujui basi

Kama mwanamke lazima utambue hayo uloandika pia ila mbona umeyaandika?

Anyway nilikuwa nakustua tu kuwa utamaduni ni mpana sana na kwasababu ya kuwa na makabila tofauti toafauti hatuna utamaduni unoeweza kuitwa moja kwa moja kuwa huu ni "utamaduni wa mtanzania". Ndio maana hata vazi la taifa lilishindikana.
 
Yani una akili,mumeo atakua na kitu cha kujivunia
 
Umenena yaliyo mema unastahiri hongera inaonyesha jinsi gani umepevuka kimtazamo umejipambanua vema wasipo kuelewa ni kazi ya shetani kuharibu
 
Kama mwanamke lazima utambue hayo uloandika pia ila mbona umeyaandika?

Anyway nilikuwa nakustua tu kuwa utamaduni ni mpana sana na kwasababu ya kuwa na makabila tofauti toafauti hatuna utamaduni unoeweza kuitwa moja kwa moja kuwa huu ni "utamaduni wa mtanzania". Ndio maana hata vazi la taifa lilishindikana.
Okay haina aja ya malumbano tufanye hivi wewe baki Na mtazamo wako namimi nibaki nahuu mtazamo wangu
 
mimi ukinizungungusha kidogo tu kunipa mbunye yako, nahamia kwa rafiki yako au ndugu yako. sisi wengine hatujaribiwi shauri yako.
 
Ujumbe mzuri japo hautapendwa na wengi
 
Hapo pa kutuzungusha sijaafikiana napo .wengine sisi mioyo yetu ya plastic sasa ikipata moto tu inayeyuka instantly!
 
Back
Top Bottom