Ummesh
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,077
- 1,144
Hapa sijui kama utaeleweka.Habari wana JF,
Naimani wote muazima kwa uweza wa mwenyezi Mungu,
Nje hovyo anaestaili kuyaona ni mumeo aliekuoa ndio maana wanaume wanatuzarau sana na tunajidanganya kuvaa nguo za kuonyesha maungo yetu sio kwamba ndio tunafanikiwa kupata mume tutaishia kufunuliwa na kuachwa pia hata ukiolewa utaolewa na mwanaume mwenye akili kama zako huwezi kuolewa.
