Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
- Thread starter
- #21
Ushasema nchi za kibepari ila hapa ni Tanzania kila nchi inamaadili yake Na tamaduni zetu pia sio heshima uko nchi za wenzetu hizo nitamaduni zao ndio maana unaweza kuta binti kavaa nusu uchi kabisa kakaa Na baba yake je hapa inawezekanaMaungo gani yanayo onekana?
Mwanamke ni papuchi na maziwa ndiyo hayapaswi kuonekana.
Lkn mapaja, sijui tumbo hvyo ni vitu vya kawaida sana.
Tatizo African tunaendekeza Ngono sana, na pengine hatujazoea, lkn km mtu umeishi Nchi za kibepari, huwezi andika uzi km huu.