Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
Habari wana JF,
Naimani wote muazima kwa uweza wa mwenyezi Mungu,
Jamani kama nilivoelezea hapo juu wanawake wenzangu ebu tuitambue thamani yetu sisi kama sisi jamani kiukweli tukianza katika mavazi jamani wanawake tunajiachia sana katika mavazi mwanamke unavaa nguo fupi inaonyesha maungo yako ambayo hayapaswi kuonekana.
Nje hovyo anaestaili kuyaona ni mumeo aliekuoa ndio maana wanaume wanatuzarau sana na tunajidanganya kuvaa nguo za kuonyesha maungo yetu sio kwamba ndio tunafanikiwa kupata mume tutaishia kufunuliwa na kuachwa pia hata ukiolewa utaolewa na mwanaume mwenye akili kama zako huwezi kuolewa.
Na anaejiheshimu wakati wewe hujiheshimu kuna hii imezuka wanawake kutuma maungo yao mitandaoni kwa wanaume msiowajua hata kama unamjua jamani hivi kabisa unakaa unavua nguo unajipiga picha unamtumia mwanaume ujue moja kakuomba umetuma hapo tayari kakuzarau pia umeshindwa kuheshimu utu wako hivi akisambaza mitandaoni siku ya siku zikawafikia wazazi, ndugu, jirani si ni aibu kwa familia jamani ebu tujue thamani zetu.
Pia kuna hii mwanamke unatongozwa asubuhi jioni ushatoa jibu umekubali hata kumpa ugumu gumu mwanaume na yeye anakuchukulia mrahisi hivyo hivyo mwanaume anapenda kusumbuliwa ninachoomba wanawake tujiheshimu turudishe heshima yetu pia tujitume tusipende kuomba omba pesa kwa wanaume kuwageuza vitega uchumi kukusaidia ni wajibu wake.
Ila muache yeye atambue wajibu wake labda uwe umebanwa kweli mpaka ata ukimuomba anashangaa hata kukopa atakopa atajua kweli mpaka kaomba anashida tutambue mwanaume huyo anawazazi pia lazima awakumbuke kwa chochote tena ukitaka kumteka unamwambia bebi umetuma hela kwa wazazi mwanaume ukipenda wazazi wake, familia yake kiujumla, rafiki zake hapo umemloga tosha hata ikitokea mnaachana unakuta unapendwa na wazazi wake , marafiki, tunapokuwa na wanaume zetu tuwachangamshe katika mawazo yakutafuta pesa kujiajili kumpa hamasha sasa.
Mwanamke jamani wewe unataka akutunze wewe tu jamani asikumbuke waliomleta duniani wakamsomesha mpaka hapo akapata hiyo kazi inayompa riziki sometimes wanawake tunasababisha wanaume waangaike kimaisha kwamanunguniko yawazazi wake kwahiyo hata kuomba omba kunakushusha thamani kwa mwanaume hivi sijui mimi mshamba ile unatoka kulala.
Na mwanaume unamuomba pesa hakiya Mungu jamani aibu mwanaume ataisi unajiuza muache akupe yeye kama unajijua huna nauli mwambie ukiwa kwenu baby siwezi kuja sina nauli atakuwa nauli yaani ili ukifika unajua huna nauli ya kwenda na kurudi ujue ndio maana wanaume wanasema bila pesa hakuna mapenzi hii imeletwa na sisi wanawake kutanguliza pesa mbele kuliko upendo hii inafanya mapenzi kuzalaulika.
Nachoomba wanawake tubadilikeni pia kuna mda tumkumbuke Mungu pia itasaidia.
Wanawake hii mada najua kuna wanawake watakao nisema vibaya ila ilihali nimeongea ukweli wakutujenga sisi wanawake na kutukumbusha thamani yetu.
Naimani wote muazima kwa uweza wa mwenyezi Mungu,
Jamani kama nilivoelezea hapo juu wanawake wenzangu ebu tuitambue thamani yetu sisi kama sisi jamani kiukweli tukianza katika mavazi jamani wanawake tunajiachia sana katika mavazi mwanamke unavaa nguo fupi inaonyesha maungo yako ambayo hayapaswi kuonekana.
Nje hovyo anaestaili kuyaona ni mumeo aliekuoa ndio maana wanaume wanatuzarau sana na tunajidanganya kuvaa nguo za kuonyesha maungo yetu sio kwamba ndio tunafanikiwa kupata mume tutaishia kufunuliwa na kuachwa pia hata ukiolewa utaolewa na mwanaume mwenye akili kama zako huwezi kuolewa.
Na anaejiheshimu wakati wewe hujiheshimu kuna hii imezuka wanawake kutuma maungo yao mitandaoni kwa wanaume msiowajua hata kama unamjua jamani hivi kabisa unakaa unavua nguo unajipiga picha unamtumia mwanaume ujue moja kakuomba umetuma hapo tayari kakuzarau pia umeshindwa kuheshimu utu wako hivi akisambaza mitandaoni siku ya siku zikawafikia wazazi, ndugu, jirani si ni aibu kwa familia jamani ebu tujue thamani zetu.
Pia kuna hii mwanamke unatongozwa asubuhi jioni ushatoa jibu umekubali hata kumpa ugumu gumu mwanaume na yeye anakuchukulia mrahisi hivyo hivyo mwanaume anapenda kusumbuliwa ninachoomba wanawake tujiheshimu turudishe heshima yetu pia tujitume tusipende kuomba omba pesa kwa wanaume kuwageuza vitega uchumi kukusaidia ni wajibu wake.
Ila muache yeye atambue wajibu wake labda uwe umebanwa kweli mpaka ata ukimuomba anashangaa hata kukopa atakopa atajua kweli mpaka kaomba anashida tutambue mwanaume huyo anawazazi pia lazima awakumbuke kwa chochote tena ukitaka kumteka unamwambia bebi umetuma hela kwa wazazi mwanaume ukipenda wazazi wake, familia yake kiujumla, rafiki zake hapo umemloga tosha hata ikitokea mnaachana unakuta unapendwa na wazazi wake , marafiki, tunapokuwa na wanaume zetu tuwachangamshe katika mawazo yakutafuta pesa kujiajili kumpa hamasha sasa.
Mwanamke jamani wewe unataka akutunze wewe tu jamani asikumbuke waliomleta duniani wakamsomesha mpaka hapo akapata hiyo kazi inayompa riziki sometimes wanawake tunasababisha wanaume waangaike kimaisha kwamanunguniko yawazazi wake kwahiyo hata kuomba omba kunakushusha thamani kwa mwanaume hivi sijui mimi mshamba ile unatoka kulala.
Na mwanaume unamuomba pesa hakiya Mungu jamani aibu mwanaume ataisi unajiuza muache akupe yeye kama unajijua huna nauli mwambie ukiwa kwenu baby siwezi kuja sina nauli atakuwa nauli yaani ili ukifika unajua huna nauli ya kwenda na kurudi ujue ndio maana wanaume wanasema bila pesa hakuna mapenzi hii imeletwa na sisi wanawake kutanguliza pesa mbele kuliko upendo hii inafanya mapenzi kuzalaulika.
Nachoomba wanawake tubadilikeni pia kuna mda tumkumbuke Mungu pia itasaidia.
Wanawake hii mada najua kuna wanawake watakao nisema vibaya ila ilihali nimeongea ukweli wakutujenga sisi wanawake na kutukumbusha thamani yetu.