Wanawake tunachoangalia........kwenye first date......

Sasa mamito, kwani Preta alisema hivyo vigezo vinawahusu mabinti malekchara wa taasisi za elimu ya juu?? Ye kasema festi deti na mvaa sketi yoyote, awe banker, mhasibu, karani, baamedi, changudoa, kondakta, mwalimu, fundi cherehani, mama ntilie, JF geloz kama wewe etc etc.....
 
Last edited by a moderator:

Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate...
 

ha ha ha....hii hata humu wa hivyo wamo.........
 
-Uelewa wa mambo kutokana na maongezi
-uwezo wa kunisikiliza
-they way anavyoji-carry
-taking care kama kurefill my glass
-showing interest in the things l do
Etc


sasa iki kinausianaje na kilicho ulizwa apo juu!! Make ujajibu swali unakurupuka tuu think mara mbili then jibuswali. Katika gr8 thinker kaka haupo.
 
sasa iki kinausianaje na kilicho ulizwa apo juu!! Make ujajibu swali unakurupuka tuu think mara mbili then jibuswali. Katika gr8 thinker kaka haupo.

HIvi ni swali gani lililoulizwa? Great thinker!!
 

Asanteeeeeee acha niwe na hivyo vigezo then nikutafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…