Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,712
- 11,611
Tumechoka kusikia kila siku mume kauwa mke, ukifuatilia source za haya mauwaji ni wivu wa kimapenzi fumanizi na kazilika.
Watiini waume zenu si uliapa mwenyewe kuwa utamtii sasa ukaidi wa nini? Mmekuwa wabishi mnakoromena na waume zenu kisa mnadai sisi na nyie ni sawa hakuna kitu kama hicho, mnadanganyana hakuna usawa kati yenu na sisi haitokuja kutokea mpaka kiama.
Kama unahisi bado haujamaliza ujana unakubali ndoa ya nini? Unajua kabisa huyu mwanaume haumpendi unakubali kuolewa nae kwa nini? Badilikeni haraka kama mtu haumpendi usikubali kuolewa nae, wanaume wa sasa hawana moyo wa kuvumilia kama baba zetu.
Yote kwa yote tumrudie muumba wetu.
Watiini waume zenu si uliapa mwenyewe kuwa utamtii sasa ukaidi wa nini? Mmekuwa wabishi mnakoromena na waume zenu kisa mnadai sisi na nyie ni sawa hakuna kitu kama hicho, mnadanganyana hakuna usawa kati yenu na sisi haitokuja kutokea mpaka kiama.
Kama unahisi bado haujamaliza ujana unakubali ndoa ya nini? Unajua kabisa huyu mwanaume haumpendi unakubali kuolewa nae kwa nini? Badilikeni haraka kama mtu haumpendi usikubali kuolewa nae, wanaume wa sasa hawana moyo wa kuvumilia kama baba zetu.
Yote kwa yote tumrudie muumba wetu.