Nawashauri wanawake wenzangu tuishi vizuri sana na waume zetu ,tuwapende tuwajali pia tuwe na masikilizano ndan ya nyumba sambamba na kufanya maendeleo na kuwa na mchango chanya katika ayo maendeleo yatakayopatikana ndani ya ndoa ili akitokea ametangulia basi usipate tabu katika hii dunia maan wao wanakufa haraka sana na gap inakuwa kubwa unakuta anakufa leo wewe unakaa miaka 20 ndo unakuja kufa . Kwahiyo tujipange vyema