Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Naungana na wanaoamini kwamba ni muhimu wasichana wakafundishwa angalau basic skills za kupigana.
Iwe kwa lengo la kujihami dhidi ya wanaume wanaopenda kupiga piga.
Mana kuna saa msichana anapigwa kiwepesi sana wakati angeweza kujilinda.
Mtoto wa mtu mwepesi kabisa anakuja kukupiga ngumi au vibao akiamini wewe ni mwanamke huwezi kufanya lolote.
Tujifunze au kufundishwa kupigana, mtu akikugusa na yeye achezee kichapo
#WanawakeNiJeshiKubwa #WanawakeWanaweza
Iwe kwa lengo la kujihami dhidi ya wanaume wanaopenda kupiga piga.
Mana kuna saa msichana anapigwa kiwepesi sana wakati angeweza kujilinda.
Mtoto wa mtu mwepesi kabisa anakuja kukupiga ngumi au vibao akiamini wewe ni mwanamke huwezi kufanya lolote.
Tujifunze au kufundishwa kupigana, mtu akikugusa na yeye achezee kichapo
#WanawakeNiJeshiKubwa #WanawakeWanaweza
