Aliyeandika bible ni mtu kama wewe lakini huyu mtu Ali claim anauwezo wa roho takatifu(who knows he may be like Osama bin laden ) we are just followers .Hitler aliwafanya watu wauliwe na oxygen chambers,watu wanaimplant mabomu wakiwa na imani wataenda mbinguni.Kama huyo mama lwakatare ni mchungaji lakini anakufanya usafishe pesa bank baada ya Muda anaita waandishi wa habari ananyumba ya kifahari.Na binadamu wanaubongo tofauti some are psychopath,serial killer,molesters,alcoholic.Sijawahi kusikia tanzania mtu anatibiwa kwa depression ,addiction .wanaume ni head of house hold period
Aliyeandika bible ni mtu kama wewe lakini huyu mtu Ali claim anauwezo wa roho takatifu(who knows he may be like Osama bin laden ) we are just followers .Hitler aliwafanya watu wauliwe na oxygen chambers,watu wanaimplant mabomu wakiwa na imani wataenda mbinguni.Kama huyo mama lwakatare ni mchungaji lakini anakufanya usafishe pesa bank baada ya Muda anaita waandishi wa habari ananyumba ya kifahari.Na binadamu wanaubongo tofauti some are psychopath,serial killer,molesters,alcoholic.Sijawahi kusikia tanzania mtu anatibiwa kwa depression ,addiction .wanaume ni head of house hold period
Yaani ni rahisi sana kuusoma ubongo ambao upo disorganized....hakuna mantiki, hakuna filosofia yoyote.
Mwisho, hakuna unachokijua....empty set!!!
Wanawake wenzangu hata km mtanishambulia kwa hili ila lazima tuambizane ukweli HIVI HIYO HAKI SAWA TUNAYOPIGA NAYO KELELE KUNA SIKU ITAPATIKANA?kuna mambo tunajichosha nayo mwanaume ni mwanaume tu kwanza aliumbwa wa kwanza kabla yetu na Mungu akaona yu mpweke akatuumba sisi wanawake hvyo mpango wa MUNGU HAUKUWA KUMUUMBA MWANAMKE ila tu kwa upweke wa mwanaume akafikiria atamsaidiaje?akaona AMUWEKEE MWANAMKE{akasisitiza kuwa awe msaidizi wa mwanaume}PILI:akamwambia mwanaume atakuwa kichwa TATU:atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu,hvyo mwanaume atabaki kuwa mtafutaji wa familia na mwanamke kaz zake ni kusaidia .Ila mabadiliko ya dunia ndio yametufanya tusiwe wasaidizi bali tumekuwa tunasaidiwa na hao wanaume..HII SIO MBAYA HATA KIDOGO tatzo sasa wanawake tunajisahau nafasi zetu na kutaka kuwa na mamlaka makubwa juu ya wanaume hao ambao walipewa nafasi hzo,tumetaka wanaume wawe wasaidizi wetu kitu ambacho si kweli....WANAWAKE TUSIJISAHAU ILA TU TUPIGANIE KUONDOA UNYANYASAJI km kupigwa,kutukanwa,kushurutishwa n.k.tuishi tukijua kuwa mwanaume siku zote yupo Dunia hii kabla yetu hvyo hilo tu limetufanya kuwa nafasi ya pili..Hata MUNGU mwanae wa pekee ni YESU{wakristo} au Nabii ISSA{waislamu}ambaye ni mwanaume na aliamua kumtuma duniani huyo huyo mwanaume..hvyo kwa sababu hizo MWANAUME AMEPEWA MAMLAKA YA JUU ZAIDI na imeandikwa ENYI WANAWAKE WATIINI WANAUME ZETU na si MWANAUME AMTII MWANAMKE..
Wanawake wenzangu hata km mtanishambulia kwa hili ila lazima tuambizane ukweli HIVI HIYO HAKI SAWA TUNAYOPIGA NAYO KELELE KUNA SIKU ITAPATIKANA?kuna mambo tunajichosha nayo mwanaume ni mwanaume tu kwanza aliumbwa wa kwanza kabla yetu na Mungu akaona yu mpweke akatuumba sisi wanawake hvyo mpango wa MUNGU HAUKUWA KUMUUMBA MWANAMKE ila tu kwa upweke wa mwanaume akafikiria atamsaidiaje?akaona AMUWEKEE MWANAMKE{akasisitiza kuwa awe msaidizi wa mwanaume}PILI:akamwambia mwanaume atakuwa kichwa TATU:atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu,hvyo mwanaume atabaki kuwa mtafutaji wa familia na mwanamke kaz zake ni kusaidia .Ila mabadiliko ya dunia ndio yametufanya tusiwe wasaidizi bali tumekuwa tunasaidiwa na hao wanaume..HII SIO MBAYA HATA KIDOGO tatzo sasa wanawake tunajisahau nafasi zetu na kutaka kuwa na mamlaka makubwa juu ya wanaume hao ambao walipewa nafasi hzo,tumetaka wanaume wawe wasaidizi wetu kitu ambacho si kweli....WANAWAKE TUSIJISAHAU ILA TU TUPIGANIE KUONDOA UNYANYASAJI km kupigwa,kutukanwa,kushurutishwa n.k.tuishi tukijua kuwa mwanaume siku zote yupo Dunia hii kabla yetu hvyo hilo tu limetufanya kuwa nafasi ya pili..Hata MUNGU mwanae wa pekee ni YESU{wakristo} au Nabii ISSA{waislamu}ambaye ni mwanaume na aliamua kumtuma duniani huyo huyo mwanaume..hvyo kwa sababu hizo MWANAUME AMEPEWA MAMLAKA YA JUU ZAIDI na imeandikwa ENYI WANAWAKE WATIINI WANAUME ZETU na si MWANAUME AMTII MWANAMKE..
Wanawake wenzangu hata km mtanishambulia kwa hili ila lazima tuambizane ukweli HIVI HIYO HAKI SAWA TUNAYOPIGA NAYO KELELE KUNA SIKU ITAPATIKANA?kuna mambo tunajichosha nayo mwanaume ni mwanaume tu kwanza aliumbwa wa kwanza kabla yetu na Mungu akaona yu mpweke akatuumba sisi wanawake hvyo mpango wa MUNGU HAUKUWA KUMUUMBA MWANAMKE ila tu kwa upweke wa mwanaume akafikiria atamsaidiaje?akaona AMUWEKEE MWANAMKE{akasisitiza kuwa awe msaidizi wa mwanaume}PILI:akamwambia mwanaume atakuwa kichwa TATU:atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu,hvyo mwanaume atabaki kuwa mtafutaji wa familia na mwanamke kaz zake ni kusaidia .Ila mabadiliko ya dunia ndio yametufanya tusiwe wasaidizi bali tumekuwa tunasaidiwa na hao wanaume..HII SIO MBAYA HATA KIDOGO tatzo sasa wanawake tunajisahau nafasi zetu na kutaka kuwa na mamlaka makubwa juu ya wanaume hao ambao walipewa nafasi hzo,tumetaka wanaume wawe wasaidizi wetu kitu ambacho si kweli....WANAWAKE TUSIJISAHAU ILA TU TUPIGANIE KUONDOA UNYANYASAJI km kupigwa,kutukanwa,kushurutishwa n.k.tuishi tukijua kuwa mwanaume siku zote yupo Dunia hii kabla yetu hvyo hilo tu limetufanya kuwa nafasi ya pili..Hata MUNGU mwanae wa pekee ni YESU{wakristo} au Nabii ISSA{waislamu}ambaye ni mwanaume na aliamua kumtuma duniani huyo huyo mwanaume..hvyo kwa sababu hizo MWANAUME AMEPEWA MAMLAKA YA JUU ZAIDI na imeandikwa ENYI WANAWAKE WATIINI WANAUME ZETU na si MWANAUME AMTII MWANAMKE..
Kwa sentensi moja tu isiyo na maneno mengi unataka wanawake tufanyaje?
AANHAAA!! Vizuri sana mnatakiwa kuwa wanyenyekevu kwa Mwenye Enzi Mungu na kwa waume zenu pia.
maana mwanamke yeyote asiyemnyenyekea mume wake hata akaswali mara trilione 1,hatakwenda mbinguni
huwezi kumnyenyekea mungu usiyemwona wakati mume uliyepewa umnyenyekee duniani unamdharau Mungu ni jemedari wa majeshi ya mbinguni na duniani na jemedari yeyote anahitaji unyenyekevu toka kwa watumishi wake sasa wewe ukimdharau mumeo na yeye atakukataa sababu siku moja utamdharau na yeye kama ulivyomdharau mumeo.
Ndivyo maandiko yanavyosema.
Aliyeandika bible ni mtu kama wewe lakini huyu mtu Ali claim anauwezo wa roho takatifu(who knows he may be like Osama bin laden ) we are just followers .Hitler aliwafanya watu wauliwe na oxygen chambers,watu wanaimplant mabomu wakiwa na imani wataenda mbinguni.Kama huyo mama lwakatare ni mchungaji lakini anakufanya usafishe pesa bank baada ya Muda anaita waandishi wa habari ananyumba ya kifahari.Na binadamu wanaubongo tofauti some are psychopath,serial killer,molesters,alcoholic.Sijawahi kusikia tanzania mtu anatibiwa kwa depression ,addiction .wanaume ni head of house hold period
mkurugenzi funguo ya mbinguni unayo wewe nini?
Wanawake wenzangu hata km mtanishambulia kwa hili ila lazima tuambizane ukweli HIVI HIYO HAKI SAWA TUNAYOPIGA NAYO KELELE KUNA SIKU ITAPATIKANA?kuna mambo tunajichosha nayo mwanaume ni mwanaume tu kwanza aliumbwa wa kwanza kabla yetu na Mungu akaona yu mpweke akatuumba sisi wanawake hvyo mpango wa MUNGU HAUKUWA KUMUUMBA MWANAMKE ila tu kwa upweke wa mwanaume akafikiria atamsaidiaje?akaona AMUWEKEE MWANAMKE{akasisitiza kuwa awe msaidizi wa mwanaume}PILI:akamwambia mwanaume atakuwa kichwa TATU:atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu,hvyo mwanaume atabaki kuwa mtafutaji wa familia na mwanamke kaz zake ni kusaidia .Ila mabadiliko ya dunia ndio yametufanya tusiwe wasaidizi bali tumekuwa tunasaidiwa na hao wanaume..HII SIO MBAYA HATA KIDOGO tatzo sasa wanawake tunajisahau nafasi zetu na kutaka kuwa na mamlaka makubwa juu ya wanaume hao ambao walipewa nafasi hzo,tumetaka wanaume wawe wasaidizi wetu kitu ambacho si kweli....WANAWAKE TUSIJISAHAU ILA TU TUPIGANIE KUONDOA UNYANYASAJI km kupigwa,kutukanwa,kushurutishwa n.k.tuishi tukijua kuwa mwanaume siku zote yupo Dunia hii kabla yetu hvyo hilo tu limetufanya kuwa nafasi ya pili..Hata MUNGU mwanae wa pekee ni YESU{wakristo} au Nabii ISSA{waislamu}ambaye ni mwanaume na aliamua kumtuma duniani huyo huyo mwanaume..hvyo kwa sababu hizo MWANAUME AMEPEWA MAMLAKA YA JUU ZAIDI na imeandikwa ENYI WANAWAKE WATIINI WANAUME ZETU na si MWANAUME AMTII MWANAMKE..