Hii thread nlikuwa wapi sijaiona!!!!!!
Naona watu wanajifanya mama theresa wakitukanwa wenzao wanashadadia wakitukanwa mashosti zao wanaleta umama theresa.
Sasa ni hivi jiheshimu uheshimiwe.
Nachamba,naingiza hela,naishi maisha mazuri na deals kibao nazipiga mtaani ukijifanya wa kishua mi wa kishua zaidi yako,ukijifanya wa vigodoro mie wa baikoko.
Bahati nzuri sasa nimewapita km 100000 kwa vyote(kasorro upuuzi wenu),ukileta ujuaji mi mjuagi zaidi yako na mbaya zaidi sitegemei kumanua kupewa hela.
SINA SHOGA WALA RAFIKI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII TUMEKUTANA UKUBWANI NISHANYOZA ZIVU ZAIDI YA MARA 100.
Halafu na wewe kidada unayeingiliana ugomvi huujui piga kimyaaaaaaaaa.
Kujidhalilisha WALIJIDHALILISHA WENYEWE KWA TAMAA ZAO ZA KIFALA KUPIGWA PICHA ZA UCHI NA KULETA MASHAUZI YA TANDALE na kuja jukwaani kututangazia bwana bwana bwana mwenyewe screpa kito.mbi tu na hajakuoa kakujaza mimba na ana mke na family je ungekuwa unalalwa na Lowassa.
masai dada waambie mashoga zako watoe ujinga na waache ushamba wajiheshimu waheshimiwe naona ilikuuma saaaaaaana mpaka ukaanzisha thread.