masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,798
- 16,812
- Thread starter
- #21
Duh masai dada huo mwanya tu unawakimbiza ata kama unachogo waambie
hahaa utasikia MWANYA KAMA GETI LA HIFADHI
watu humu sutaki kabisa
Duh masai dada huo mwanya tu unawakimbiza ata kama unachogo waambie
tumboo ki ukweli kimi nachukulia hii sehem kama ya kuondolea stress lakini kwa jinsi hali ilivyo usidhubutu kujuana na mwanamke humu HALI NI TETE
mungu wangu WATU WANA CHUKI KALI SANA
kuna watu wanachambua sana wenzao
mimi namezea tu lakini HALI NI TETE HUMU
yaliomkuta BETI YALIKUA NA SURA KAMA HII YA KUAHAMBULIANA mpaka kifo chake
Yani ujue mpaka saiv najiulza maswali mengi sanaa.....kweliii ss wanawake ni wadhaifu sanaa....ckujua kua jeiefu ina mambo makubwa ivii......yan mi nlikua nachukulia ki masihara kumbe wengne ni siriuz kiasi hikii........kwa mtindooo huu tutadharaulikaa kila sehem si wanawake tuna matatizoo jaman embuu tuacheee.....
Achana nao. Soma threads na ku-Comment pale unapojisikia na yote yaishie hapa.
Niko hapa mwaka wa nne now ila mtu ninayefahamiana naye nje ya hapa ni mmoja tu na tena sijawahi kuonana naye zaidi ya ku-Chat naye WhatsApp kusalimiana siku moja moja basi.
ahahaa hii sehem si salama kabisa naogopa sana jamani aisee
nimeshajua ni bora mwanaume umfate pm umueleze shida yajo hata kama huna ela ya p..d si mwanamke haki ya nani atakutangaza kila sehem ya nchi aisee sijui ni CHUKI au
hili ni la kuzingatia lakini kuna fursa za kibiashara je utaacha kukutana na mtu??
Kama mtu alijisajili mwenyewe humu ni wazi kwamba ana akili timamu.....acha muvi iendelee
Kama mtu alijisajili mwenyewe humu ni wazi kwamba ana akili timamu.....acha muvi iendelee
Ila nanyie wadada mnanishangaza tabia zenu flan flan. Utakuta mkiwa kwenye public au kwenye magrupu mnajionyesha kupendana sana hadi inafika mnaitana majina kama "dia" "mpenzi" "honey" etc, lakin cha kushangaza mkiwa pembeni mnasemana vibaya ile mbaya. Kwa mfano kama wewe, am sor to say this, huwa unaonyesha upendo wa hali ya juu kwa wadada wenzako mkiwa public lakin hapa unasema huwapendi, you see the point? Hahaa masai dada una visa!
Kama mtu alijisajili mwenyewe humu ni wazi kwamba ana akili timamu.....acha muvi iendelee
Kama mtu alijisajili mwenyewe humu ni wazi kwamba ana akili timamu.....acha muvi iendelee
kutokana na kinachoendelea hapa aisee siraki kabisa na pia hapa ni public naonesha ukweli NAWAOGOPA WANAWAKE WENZANGU CHUKI ILIOKO NI KUBWA SANA ingekua gesi inazalisha umeme mkubwa sana
na hao unaowasema nimeshawafata na kuwaambia wache kuzalilishana
huu uzi ni general view
Naona leo umeamua masai dada, warekebishe mi nadhani ni laana ya mungu ndo inawaandama ya pale bustanin edeni
kutokana na kinachoendelea hapa aisee siraki kabisa na pia hapa ni public naonesha ukweli NAWAOGOPA WANAWAKE WENZANGU CHUKI ILIOKO NI KUBWA SANA ingekua gesi inazalisha umeme mkubwa sana
na hao unaowasema nimeshawafata na kuwaambia wache kuzalilishana
huu uzi ni general view
Tungekua wote mimi na wewe tunatumia real IDs ningekuwekea uhalisia na kukutajia majina ila kwa kuheshimu privacy naomba niuache mjadala uendelee.