masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,798
- 16,812
- Thread starter
- #41
Naona leo umeamua masai dada, warekebishe mi nadhani ni laana ya mungu ndo inawaandama ya pale bustanin edeni
inaumiza sana sipendi kumuanika mtu binafsi sipendi inaumiza naamini hapa kujenga urafiki ni rahisi
naamini wanaoanikana walikua marafiki awali jamani