masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,798
- 16,812
Jana wakati nikiwa IG kuna mtu alisema mnatusingizia tu wanaume lakini wanawake mlioko wengi ndo mnaongoza kuvujisha picha zenu na za wezenu mitandaoni
sikuamini....
ila nashawishika kuamini kwa kinachondela hapa jf
si vyema na nina pinga kabisa si vizuri kutukanana na kuanika privacy ya mtu hapa,kama unamfaham mtu hapa kumuanika hakutakuongezea hata thumni
najiuliza HAYA MAMBO MBONA WANAUME HAWAYAFANYI? na nina uhakika wengi wa wananume wanajuana kuliko sisi wanawake lakini sisi kujuana juu juuu tu ndo watu wanatupiana maneno makali jamani
najua wahusika mnaona hapa si wakati wa kutumia mitandao kuumizana kihisia na kutukanana,embu tuwaige wenzetu wanaume atleast hutukanana kwa hoja na si privacy zao
haya mnategemea lini muanze kuheshimika enyi wanawake?
KILA SIKU LAZIMA NYUZI NYINGI ZIMIMINIKE KUTUPONDA YAAA KWA SABABU TUNASTAHILI,,YAA NDIVYO TULIVYO kama tunayaanika wenyewe kwa nini wanaume wasiyaweke hapa eeh?
tuwaache watuwekee tu nyuzi hizo maana tunajifunua wenyewe na tusitegee heshima kutoka kwao
sikuamini....
ila nashawishika kuamini kwa kinachondela hapa jf
si vyema na nina pinga kabisa si vizuri kutukanana na kuanika privacy ya mtu hapa,kama unamfaham mtu hapa kumuanika hakutakuongezea hata thumni
najiuliza HAYA MAMBO MBONA WANAUME HAWAYAFANYI? na nina uhakika wengi wa wananume wanajuana kuliko sisi wanawake lakini sisi kujuana juu juuu tu ndo watu wanatupiana maneno makali jamani
najua wahusika mnaona hapa si wakati wa kutumia mitandao kuumizana kihisia na kutukanana,embu tuwaige wenzetu wanaume atleast hutukanana kwa hoja na si privacy zao
haya mnategemea lini muanze kuheshimika enyi wanawake?
KILA SIKU LAZIMA NYUZI NYINGI ZIMIMINIKE KUTUPONDA YAAA KWA SABABU TUNASTAHILI,,YAA NDIVYO TULIVYO kama tunayaanika wenyewe kwa nini wanaume wasiyaweke hapa eeh?
tuwaache watuwekee tu nyuzi hizo maana tunajifunua wenyewe na tusitegee heshima kutoka kwao