Wanawake, this is too much (kali ya mwaka)

Wanawake, this is too much (kali ya mwaka)

Mkuu kwa kiasi nakupongeza kwa research yako japokua haijamalizika.
Nnachoweza kusema tu ni kwamba wanawake wengi wanayaona maisha magumu sana kwa sababu hawakubaliani na uhalisia wa maisha yao na kutaka maisha wasiyoyaweza.
Wana lead fake life sana mpaka unashangaa. Kuna mfano mdogo sana naweza kukupa. Nilipokuwa nakaa nilikuwa nilifahamiana na dada mmoja alikuwa anaishi peke yake. Ana kipato cha kawaida sana ila alikuwa anapenda sana maisha ya kujirusha. Kwa kuwa alikuwa anaishi peke yake pale alikuwa harudi nyumbani siku za wkend hususani ijumaa na hukaa mpaka j2 jioni ndio hurudi nyumbani. Starehe na yeye mashoga na wanaume kwa kwenda mbele. Anapenda ofa balaa. Ukiwa nae kati kati ya wiki kelele kubwa anazopiga ni ukata. Han hela hana hela.
Ikafika kipindi akajitwisha mkopo akanunua gari. Duuh... sikutaka kufatilia sana. Baadaye nikapata story kumbe alikuwa anajibaba la haja lina support life. Akalalamika alikua anakaa mbali akaja akahama. Kumbe alienda kushare room na mwenzie maisha ya kodi yalishamshinda.
Kwa kifupi wanawake wengi si kweli kwamba wanalalamika maisha magumu sana isipokuwa wanaishi maisha yalio nje ya uwezo wao.
Hii imewafanya kumegwa na kuachwa na the cycle continues.
Na hiyo ndo habari ya mujini.
 
Hayo ndo matatizo ya kuwa na mademu njaa wa kiafrica,mi kila siku nawaambia jamani acheni kudate na hivo videmu vyenu visivyo na mbele wala nyuma vya kibongo.Rudini kundini Mungu atawapa wake zenu aliowapangia
 
wanawake wakibongo asome asisome akili zao zinafanana kimatendo hadi kimaongezi
 
ulikua unapoteza muda 2 coz cku hizi watu weng wanaakaunt fake So walikua wanakuenjoy pia..
 
Kwa hiyo ulikuwa unatoa ushauri gani ?
au ulitendwa halafu unafanya ulikuwa unafanya utafiti ?
 
Back
Top Bottom