Kama kawaida Mwanamke anashindikizwa na Rostam kupata Uspika na matokeo ni aibu tupu. Tukiangalia wanawake duniani waliopata nafasi za juu Kitaifa: Wanatetea Haki za Wanawake Hasa Wasio na Uwezo Africa na Nchi Maskini. Kwa siku kadhaa Makinda kavaa joo la kuwanyima Rights wanawake wa Tanzania. Leo wanawake wanabeba mizigo ya kuni vijijini, mijini umeme unafanya wanawake kupika kwa shida na zaidi wanawake wafanya biashara ndogo ndogo wanashindwa kupata faida kwa sababu ya ukosefu wa umeme makosa/Maafa ya Dowans na Richmond. Uwanawake wa Makinda ni upi? Wasichana wanabaki nyuma kielemu na kukosa kazi na wengi wao kupata kazi kwa kulala na mafisadi, Uwanawake Makinda upo wapi? Makinda kujiunga Kachukua hatua kama madikteta wanaume wa chama chake kunyima Chadema nafasi ya Haki zao Kuunda Kambi ya Upinzani. Huu ukosefu na upungufu wa Makinda unafanana sana na uwezo wa Kikwete na Pinda. Taifa gani litajengwa na huyu mwanamke Spika? Mpotofu Makinda ni sawa na Palin, wanawake ambao hatuta wakumbuka miaka kumi ijayo - wanajenga legacy za miaka miwili.
Viongozi Mashuhuri Wanawake Africa na Duniani ni hawa - Tutawakumbuka Miaka Mingi Ijayo:
Mrs Obama, Harvard Graduate, Lawyer, and Former Healthcare Executive
Oprah, Business Woman, The Most Inflectional Woman in the World
President of Liberia
Wangari Maathai, Nobel Winner and Environmentalist
Viongozi Mashuhuri Wanawake Africa na Duniani ni hawa - Tutawakumbuka Miaka Mingi Ijayo:
Mrs Obama, Harvard Graduate, Lawyer, and Former Healthcare Executive
Oprah, Business Woman, The Most Inflectional Woman in the World
President of Liberia
Wangari Maathai, Nobel Winner and Environmentalist