Fadhila mfadhili mbuziiii Utamnywa mchuziiiii! Binadamu wana mauziiii!!!!!!!!! How Could She be so Heartless!!!!!!!!??????????
Mi bwana ndo maana Mwanaume asie na kitu simtakagi kabisaaaaaaa!!!!!!! Mambo ya kumfuga mtu wee akipata anakuona si hadhi ya tena!
I ALWAYS WANT MY MAN IN A COMPLETE PACKAGE!!!!!! (Brains! Looks! Character and Money) Mambo ya kuanza wote from scratch yalikuwa zamani zam za kibanga kumpiga mkoloni!!!!!!!
Hivyo ndivyo wanawake walivyo ni viumbe wadhaifu kama Lara1, wanapenda raha tu, shida hawataki, ukifulia hakutaki kaka!!
Kama keshamgundua angeachana naye kwani kwa Bint kama huyo anataka kitu kinaitwa New taste yaani nilazima atajamtoka tu kwani kwa sasa wapo level moja na dada hapo sio mwisho atatafuta mwenye mkoko aje amuonyeshee maana Walimu kwa kusifiana na kupondana hatakubali kuishi na huyo jamaa asiye na michuzi wenzake watamuunganishia kwani keshaonekana Kipepe
Samahani unajua tena sisi wa 47 yalishatukuta ndio maana tunatumia lugha za kina Pimbi na Kipepe
huyu jamaa anataka ushauri gani tena wakati amefikia kuambiwa ms*nge mara unaf-l-wa yaani kudadadeki huyo hamtaki na pengine anaona km anamletea kauzibe tu kuwa pale achape lapa akaangalie ustarabu mbele ya safari ebo!
Hee mchele tu ndo matusi yote hayo
sawa mkuu hili nalo ntamfikshia ili asjerudia kosa mara ya pili sawa wa kwetu.
huyu nae anaujauzito wa miezi mi 3 na kadi imeandikwa jina la jamaa.