wanawake siyo.

wanawake siyo.

NAKUHESHIMU SANAAAAAAAAAAAA! Jiangalie!!!!!

Nimekuheshimu nimekuja kuchangia thread yako then UNANITUKANA?????? KAMA NITACHANGIA CHOCHOTE UTACHOANZISHA MAISHAAAA YAKO!!!!!!
lara 1uniangusha.....hasira za nini.....apply online philosophy yako kidogo hapo ushushe jazba
 
Loan board punguzeni mikopo hiyo watu wengine nao wapate, kumbe ma dogo wanaolea totoz?
 
Kuna usemi unasema "UKITAKA KUJUA UZURI/UBAYA WA BINADAMU YEYOTE MPE PESA" amini usiamini pesa inatoa sura ya binadamu yeyote iliyojificha mfano, uchoyo, ushirikina, husuda, upendo, heshima etc.....huyu mwenzetu amepata pesa ameonyesha tabia zake za asili.....Ushauri mwambie jamaa asiangalie wema aliomfanyia kwani maudhi yanaweza kuujeruhi moyo wake ila achukue virago vyake kwani hapo sio kwake akatafute maisha mbele na aache kulialia hayo ni mambo madogo ila kwa kutokuwa na kipato cha kutosha anawaza pakufikia......Pia inawezekana huyo msichana anaogopa kuukaribisha umasikini kwani jamaa haonyeshi juhudi za dhati za kutafuta kazi.

juhudi za dhati za kutafuta kazi? Hebu tupe juhudi unazozjua za dhati wapo vijana graduate tokea 2007 wapo ktaa kaz hakuna wamefanya app.za kufa m2,interv bt no job wape hzo juhud wapate kazi.
 
anazo ila neno linasema hivi 'tujue namna ya kuiweza miili yetu' kwahiyo ilitegemewa yeye aliyejaa Neno awe mfano kwa kuuweza mwili wake tena linasema hivi 'ikimbieni zinaa' si hivyo tu linaongeza 'mssiyaamshe mapenzi mpaka yatakapoona vyema yenyewe'
dada yangu hawa jamaa hawakuyaamsha mapenzi..... ila mapenzi ndo yalishaona vyema yenyewe....
 
Loan board punguzeni mikopo hiyo watu wengine nao wapate, kumbe ma dogo wanaolea totoz?
jamaa kwao alikuwa analipiwa ada na mkwanja kdogo alipewa plus loans so akawa anampga tafu demu wake
 
juhudi za dhati za kutafuta kazi? Hebu tupe juhudi unazozjua za dhati wapo vijana graduate tokea 2007 wapo ktaa kaz hakuna wamefanya app.za kufa m2,interv bt no job wape hzo juhud wapate kazi.

Mbona kwa hisia hii tread inakuhusu wewe? But worry not kuna vijana wanachagua sana kazi nikupe mfano wa mdogo wangu kila kazi ukimwambia anasema mara za wanawake, mara za kichwara, mara hazina maslahi, mara sio professional yake.......mwisho wa siku baada ya miaka 3 ameamua kujiingiza ktk biashara......Juhudi za kupata kazi zinaanza hata wakati wa kuchagua usome nini.....wanafunzi wengi ni mashabiki wa course zinazoonyesha zimewatoa wengine bila kufikiri mahitaji ya sasa na kesho.......Mpe pole au nakupa pole kama ni wewe kwani mimi sio miongoni mwa vikwazo vyake na mungu atamsaidia.
 
Wadada wa kufahamiana chuoni sio wa kuwategemea sana katika suala zima la kuoa. Ndugu yangu ameteseka sana story ya kufanana kabisa na wote wameokoka.
 
Yah mambo ya mahusioano ni magumu sana ila wanawake wa kibongo wagumu kweli
kwenye responsibility na huwa waswahili wanasema"mwanamke uzuri mwanaume fedha"
hapo jamaa hana haja ya kuumwa kichwa aangalie ustaarabu mwingine tu kama vipi.
kila la kheri kijana umeliona kunako asubuhi ukisubiri likichwa shauri yako
 
Wameishi muda mwingi na dem anatabia hiyo na jamaa bado yupo. mwambie avumilie ndio zigo lake
 
Akufukuzae hakwambii toka, huyo jamaa yako anasubiri kumwagiwa maji ya moto ni bora ajisepee mapema
 
Umesema kaokoka??? hebu ongea kwa sauti kidogo maana hapa kuna makelele.
Eenh kama kaokoka mbona wanawekana kinyumba tena???

Kaokoka na Magonjwa, au machangudoa.......!:becky::becky::becky::becky::becky::becky:
 
we wanawake akili wameztoa wapi? Huoni wanatembea uchi,huon eti kwao maisha na pesa hvyo akikupenda na hela zako bt aktokea mdau mwngn mwenye pesa nyng we unakuwa ----, umbwa kabhisa hawa.
Punguza hasira mkuu, wale waliotuzaa wana akili..! Sema hawa wanaotembea uchi ni mburura kabisa ndo maana mimi huwa nawafira, unakala tigo mpaka roho inasuuzika haswa
 
Kwa mazingira kama haya hakupaswa hata kuomba ushauri; kuna vitu vya kujichukulia maamuzi na vingine vya kushauriwa! Huyu jamaa kweli ni m.jinga na t.ahira mkubwa sana!
 
Mtu kaomba ushauri nyie mnaanza kashifa si ubinadamu bt all in all only God know,ndiyo kauli ya jamaa anayoisema,jamaa hatunzwi na mwanamke kama mnavyodhan anajitegemea na msosi ananunua na kodi ya chumba anatoa na aliyetaka waish wote ni demu mwenyewe over! Out of hapo endeleen na kashfa zenu wanawake hamna shukran dunian hapa tunapta tu,nyambafu pesa ztakufksha wapi?jamaa yng namuonea huruma he is a man of ze people.
sasa mbona umekua mkali ghafla au ni ww ndo yamekusibu, by the way wanaume ndo hamna shukrani a man of the people huku anaugulia moyoni,mwambie achanganye akili apange chumba chake hapo anaendekeza tu ukahaba hana lolote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom