Sasa na Mimi nakwambia hawapo ktk dunia hiiSasa wewe umeona mimi kuna sehemu nimeandika aliye na pesa au asiye na pesa mimi nimemaanisha wapo wanaume ambao wanakosa kabisa wanawake yaani kila wanapotongoza wanakataliwa sasa wawe na pesa wasiwe na pesa mimi hainihusu ila ndo hivyo wanakataliwa
Hehehehe sasa mmojawapo si ndo wewe au? Ulikuja kuwalilia watu humu eti kila mwanamke unayemtongoza hakukubalii wanawake wote hawa jomoni ukose hata mmoja kweli?Sa
Sasa na Mimi nakwambia hawapo ktk dunia hii
Jana watu kwenye vibanda umiza walikasirika kiasi kwamba matusi ndio ilikuwa lugha ya kuelewana humo.
Wakenya wakatujambisha....baada ya wao kupigwa 2 mtungi wakaja na kauli eti wanasubiri game na sisi wanyonge.
Navoona starz watatuuwa na stress hawa.
Dadek tulikuwa tunashambuliwa kama tumeiba tecno kwenye mfuko wa rambo.
Kwani akina Erick Shigongo wanachokiandika huwa kinahusu maisha yao? Ile ilikuwa nfanya investigationHehehehe sasa mmojawapo si ndo wewe au? Ulikuja kuwalilia watu humu eti kila mwanamke unayemtongoza hakukubalii wanawake wote hawa jomoni ukose hata mmoja kweli?
Kwahiyo wewe ule uzi uliouandika ulikuwa unahusu maisha ya mtu mwingine?Kwani akina Erick Shigongo wanachokiandika huwa kinahusu maisha yao? Ile ilikuwa nfanya investigation
HayaNilikuwa unafanya investigation