Ngareroo JF-Expert Member Aug 11, 2019 2,049 2,249 Nov 11, 2019 #1 Hii imeanza kule Mambele..Mnaionaje hii wadau hasa ma'mamilox? @ @NgarenaroBoy Attachments ah1.jpg 22 KB · Views: 1
Troublemaker JF-Expert Member Jun 8, 2015 19,866 38,475 Nov 11, 2019 #3 Sidhani kama wao wenyewe kama watakuwa comfortable kukojoa hivyo.
LIKE JF-Expert Member Dec 17, 2013 4,744 9,841 Nov 11, 2019 #4 kkwa hiyo atakuwa anatembea nacho kwenye puchi au atakuwa amehifadhi kwenye pochi.!??
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,407 36,551 Nov 11, 2019 #5 Hizi technologia zitawapoteza Dada zetu, acheni hizo na bakini na uhalisia wenu.......aliyetaka mchumumae anamaana yake
Hizi technologia zitawapoteza Dada zetu, acheni hizo na bakini na uhalisia wenu.......aliyetaka mchumumae anamaana yake
Ngareroo JF-Expert Member Aug 11, 2019 2,049 2,249 Nov 11, 2019 Thread starter #6 Heller said: kkwa hiyo atakuwa anatembea nacho kwenye puchi au atakuwa amehifadhi kwenye pochi.!?? Click to expand... Nahisi watakua wanaweka kwenye pochi??
Heller said: kkwa hiyo atakuwa anatembea nacho kwenye puchi au atakuwa amehifadhi kwenye pochi.!?? Click to expand... Nahisi watakua wanaweka kwenye pochi??
ikhatibu JF-Expert Member Nov 14, 2013 2,359 2,273 Nov 14, 2019 #7 Mh!! Kwahiyo watakuwa hawajisafishi wakimaliza kukojoa na hicho kudude?