Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Chimbekeha

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2018
Posts
1,193
Reaction score
2,176
Jana kuna mdada nilimtongoza ilikuwa majira ya jioni hivi, usiku tukachat kidogo tukapumzika kama ilivyo kawaida kwa wapenzi wapya, ile naamka asubuhi ni salaam tu nahisi ndo ilikuwa ya kwanza baada ya hapo ni kirungu mimi nina shida huwezi amini hadi asaivi kala Tsh 20,000/=
asa najiuliza ujasiri huu wanautoa wapi?
ila mnasikitisha kwakweli utadhani nimejiunga na VIKOBA aiseee.
 
Jana kuna mdada nilimtongoza ilikuwa majira ya jioni hivi, usiku tukachat kidogo tukapumzika kama ilivyo kawaida kwa wapenzi wapya, ile naamka asubuhi ni salaam tu nahisi ndo ilikuwa ya kwanza baada ya hapo ni kirungu mimi nina shida huwezi amini hadi asaivi kala Tsh 20,000/=
asa najiuliza ujasiri huu wanautoa wapi?
ila mnasikitisha kwakweli utadhani nimejiunga na VIKOBA aiseee.
Mm siombi hela nitafute
 
Tatizo lipo wapi? Mbona mkiwaparamia siku hiyo hiyo ya kuwatongoza hamlalamiki?

Endelea kutoa kisha uendelee kulalama JF. Kesha kusoma vizuri mpenzi mtazamaji poyoyo.
 
Tatizo lipo wapi? Mbona mkiwaparania siku hiyo hiyo hamlalamiki?

Endelea kutoa kisha uendelee kulalama JF. Kesha kusoma vizuri mpenzi mtazamaji poyoyo.
Huenda ikawa kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom