Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Wanawake wanazingua kwelikweli,mm sasa hivi nishawajulia huwa simtongoz direct,ninachofanya najiweka km simtaki kimapenzi harafu namstukiza namwambia kesho twende beach,na waha ndugu zetu ukiwatajia milo roho zao zinakereketa basi kuna beach zangu zipo kigambo ambazo wanavijumba kama guest hivi basi ndio hukohuko nakula mzigo na biashara huishia huko.
Ila ukijifanya kimbelembele cha kutongoza jiandae kuwa SACCOS aiseee
IMG-20171228-WA0020.jpeg
 
Hebu jitahidi kuandika kwa ufasaha.Hii ni lugha inayohitaji kuenenda kwa umakini.Ungeandika "sasa hivi"! What is " asaivi",anyway?
Sijajua una umri gani ila wajukuu wako inaelekea watapata tabu sana...
Hongera kwa kujiunga na baraza la kukuza kiswahili nchini.
 
umelipia huduma kabla hujapata huduma husika???
imekuwa ada hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom