Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Mkuu usilalamike na wewe si atakupa papuchi one day so utapoza machungu yote mana najua karoho kamekuhuma kwa kuwa ujapewa kipochi manyoya
Asante kwa kunipa moyo wa uvumilivu
 
Jana kuna mdada nilimtongoza ilikuwa majira ya jioni hivi, usiku tukachat kidogo tukapumzika kama ilivyo kawaida kwa wapenzi wapya, ile naamka asubuhi ni salaam tu nahisi ndo ilikuwa ya kwanza baada ya hapo ni kirungu mimi nina shida huwezi amini hadi asaivi kala Tsh 20,000/=
asa najiuliza ujasiri huu wanautoa wapi?
ila mnasikitisha kwakweli utadhani nimejiunga na VIKOBA aiseee.

Alikuambia elfu20 ya kufanyia nini?
Tuanzie hapo kwanza.
 
mi ndo mana huwaga nachukuaga machangu najipoozea kwa buku 10 tu nasahau nikitaka mtandao pendwa naongeza 5000 napiga narudi zangu kulala siku imeisha..... hawa mbung'o wa mtaani wapumbavu sana hawana akili dem anakuomba hela dakika 10 baada ya kumtongoza hata aibu haoni nikiyaka kuoa ntatafuta mke saiv acha nijipooze na machangudoa kwanza mana uku kwetu wapi kama kibao bei rahis wazuriii miku**u mikubwaa tunajilia taratibu maisha ndo hata hamnaga mengine
 
mi ndo mana huwaga nachukuaga machangu najipoozea kwa buku 10 tu nasahau nikitaka mtandao pendwa naongeza 5000 napiga narudi zangu kulala siku imeisha..... hawa mbung'o wa mtaani wapumbavu sana hawana akili dem anakuomba hela dakika 10 baada ya kumtongoza hata aibu haoni nikiyaka kuoa ntatafuta mke saiv acha nijipooze na machangudoa kwanza mana uku kwetu wapi kama kibao bei rahis wazuriii miku**u mikubwaa tunajilia taratibu maisha ndo hata hamnaga mengine
Unajikingaje na UKIMWI
 
Jana kuna mdada nilimtongoza ilikuwa majira ya jioni hivi, usiku tukachat kidogo tukapumzika kama ilivyo kawaida kwa wapenzi wapya, ile naamka asubuhi ni salaam tu nahisi ndo ilikuwa ya kwanza baada ya hapo ni kirungu mimi nina shida huwezi amini hadi asaivi kala Tsh 20,000/=
asa najiuliza ujasiri huu wanautoa wapi?
ila mnasikitisha kwakweli utadhani nimejiunga na VIKOBA aiseee.
Hadithi yako napenda kuielewa.Hivi "asaivi" maana yake nini?
 
Sasa hiyo 20 si ndiyo ingekuwa ndoano ya kumleta meeting point ili mpange mipango ya Christmas na Mwaka mpya?

Mkishaonana mnapiga hesabu mkimaliza mnajipongeza wanakamati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom