Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Wanawake sasa hivi mmevuka mipaka

Jana kuna mdada nilimtongoza ilikuwa majira ya jioni hivi, usiku tukachat kidogo tukapumzika kama ilivyo kawaida kwa wapenzi wapya, ile naamka asubuhi ni salaam tu nahisi ndo ilikuwa ya kwanza baada ya hapo ni kirungu mimi nina shida huwezi amini hadi asaivi kala Tsh 20,000/=
asa najiuliza ujasiri huu wanautoa wapi?
ila mnasikitisha kwakweli utadhani nimejiunga na VIKOBA aiseee.
Kinachowaponza ni kudhani kuwa ukimpa hiyo aliyoomba ndo umejipatia tiketi ya kumpata. Hiyo sio kweli kwa kila mwanamke. Unaweza kumpa na usimpate pia.......
 
Kinachowaponza ni kudhani kuwa ukimpa hiyo aliyoomba ndo umejipatia tiketi ya kumpata. Hiyo sio kweli kwa kila mwanamke. Unaweza kumpa na usimpate pia.......
Kumpata kivipi wakati kanikubali ila tu ndo ameharakia kuomba hela.
Au nikufate inaelekea huombi hela wewe.
 
Jana kuna mdada nilimtongoza ilikuwa majira ya jioni hivi, usiku tukachat kidogo tukapumzika kama ilivyo kawaida kwa wapenzi wapya, ile naamka asubuhi ni salaam tu nahisi ndo ilikuwa ya kwanza baada ya hapo ni kirungu mimi nina shida huwezi amini hadi asaivi kala Tsh 20,000/=
asa najiuliza ujasiri huu wanautoa wapi?
ila mnasikitisha kwakweli utadhani nimejiunga na VIKOBA aiseee.
Wanakwambia Mwanamke kama hakutaki anakuomba hela siku ya Kwanza tu ya kutongozana
 
Mimi sijui imekuwaje kila nikimpa .wanamke hela zinakuja zingine mara 2 zaidi sasa natamani wawe wananiomba nyingi. Sijui hii ndio JAZA UJAZWE?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom