Nasema hivi kuna siku uliwahi post kuwa wewe ni timu kibamia,nikaunganisha hapo kwamba huenda unaogopa kukutana na mandingo wakakuumiza,pili labda umeokoka na hivyo kuwa unamwogopa Mungu ndo maana ukisafiri unafika na kurudi bila kuguswa.nadhani hapo umeelewa.