Wanawake punguzeni ku edit picha zenu

Nilishawahi kulivagaa miaka kadhaa iliyopita,
Picha zake zote anapiga selfie, siku ya kuja kumuona loooh sio kwa mabonde na maporomoko yale, uzuri aliona mshtuko na mfadhaiko wangu, akasema tuwe marafiki wa kawaida.
Hahahaaaaaaaaaa

Kama nakuona vile namna uliishiwa pozi kwa ulichokiona mbele yako
 
😆😆😆😆 mtu anaedit mpk nyama za kiungo kingine zinahamia kwingine anabakia kama kilema
 
Mi naedit sana tuu we kama unapenda muonekano si unanipotezea kila mtu ana mtu ake wanaeendana nae.
 
Back
Top Bottom