Mambo ya filter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usicheze na beauty camera weweAisee hili lina ukweli,kuna mdada moja nilikuwa namuona kwenye picha white kabisa,siku nilipomuona ni black na ana mabaka sasa sijui hata yale mabaka anatoaje...
Nikusaidie kucheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi mamy kile cha mtume kilipita?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madem wanao edit pic huwa wanaringa kinoma alafu ukimtongoza akakubali lazima akuchoshe kwa zile "mim ni wakawaida tu hzo ni pic tu" ili ujiandae mapema.
Kilipita love nimekusubiri pm ili tupange best.Nikusaidie kucheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi mamy kile cha mtume kilipita?
Mtu una pua kubwa kwa nini usiipunguze kiasi 😃😃😃😃beauty Camera.Mambo ya filter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usicheze na beauty camera wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtu una pua kubwa kwa nini usiipunguze kiasi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]beauty Camera.
Hhaha mkuu hebu acha basi.. Hahah lile sanamu aisee ahah. Yani nikikutana na hiyo kadhia aisee hizo mbio nitakazotimua naweza kuitiwa mwizi😂😂Kuna tipwa tipwa moja ova sanamu la Michelin lilitaka kuniingiza mkenge nikalizidi maarifa likabaki linaporomosha matusi kwenye simu
Mambo ya filter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usicheze na beauty camera wewe