Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
icho kitako duhhahaha ndomana sipendagi vya kujimodifygi mimi....mtu akinipenda anipende venye nilivo ...habari za kukimbiana sioo. ..
Hilo dah! linanimaliza sana tafadhali
Hahaha aisee; ili agundue niniMuwe munatakaga na picha walizosimama ili uache kuwa unawasimanga.
Sio selfie pekee.
Mzima rafiki? Miss u mingi mingi!!! 🙈🙈
Ndioo Mtani. Mana angepewa na picha nzima angeamua aendelee au akatishe mahusiano.Hahaha aisee; ili agundue nini
Vijana wa sasa: wana tabu kweliNdioo Mtani. Mana angepewa na picha nzima angeamua aendelee au akatishe mahusiano.
Na hata hili lalamiko la kwamba mdada wa watu ni "kuubwa halafu boonge" lisingekuwepo Mtani.
Sana Mtani. Sababu saa nyingine naona wanamkosea Muumba tu kwani sidhani kama kuna ambaye kajiumba.Vijana wa sasa: wana tabu kweli
Yes ni kweli kabisa.Sana Mtani. Sababu saa nyingine naona wanamkosea Muumba tu kwani sidhani kama kuna mja ambaye kajiumba.
Pia anasahau kuwa siku zote uzuri wa mtu uko machoni mwa mtu na si ajabu kuna mwingine akafa na kuoza kwa huyo Dada.
Afu sijawahi kukutana na mtu for the first time ikawa tofauti na matarajio.yaan mule mule labda ikitokea huko mbeleni.😁.Zimetengenezwa ili zitumike. Tuta explain tukikutana hamna namna. Na nikiwa nakuja nakuuliza kabisa umevaaje ili usinikimbie
Nipo rafiki. Pole sana naona umenisaka kila kona hunioni mpaka nikasema nirudishe hii Avatar huenda ukanikumbuka rafiki.
Nipo rafiki. Pole sana naona umenisaka kila kona hunioni mpaka nikasema nirudishe hii Avatar huenda ukanikumbuka rafiki.
Mi sijambo kabisa rafiki. Umemisika tu mana siku hizi unaingia kwa kubeep beep tu. Wewe je Umzima?