Wanawake punguzeni ku edit picha zenu

Wanawake punguzeni ku edit picha zenu

Kwa mimi nilivyo elewa shida ipo kwako wewe mzee mwenzangu utakuwa mfupi. Sasa mambo yameenda vise versa. Komaa nae tu kwanza umkule [emoji2]
M mrefu sana tuu sema urefu wake na mwili nyumba hatari mkuu
 
Madem wanao edit pic huwa wanaringa kinoma alafu ukimtongoza akakubali lazima akuchoshe kwa zile "mim ni wakawaida tu hzo ni pic tu" ili ujiandae mapema.
Anakuandaa kisaikolojia usije pata shambulio la moyo
 
Kuna tipwa tipwa moja ova sanamu la Michelin lilitaka kuniingiza mkenge nikalizidi maarifa likabaki linaporomosha matusi kwenye simu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwaje mkuu??
 
Hhaha mkuu hebu acha basi.. Hahah lile sanamu aisee ahah. Yani nikikutana na hiyo kadhia aisee hizo mbio nitakazotimua naweza kuitiwa mwizi[emoji23][emoji23]
Picha alizonitumia huwezi amini ni boonge moja la kifaa, nikapanga nalo miadi tukutane pale Kingdom Hotel likakubali, machale yakanicheza nikatega kwa tax moja ya driver wa pale nje, mida ilipowadia mara kwa mbali naona sanamu la Michelin hiloooo linaingia na simu yangu inaita nikapokea linanambia ndio naingia hapa mlangoni nimevaa suruali ya bluu na t-shirt nyeupe unaniona?

Nikamwambia nimeshakuona nikaondoka zangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwaje mkuu??
Hahahaaaaaa

Tipwa tipwa mwili ghorofa maana sio nyumba tu, limejaziajazia minyama ova sanamu la Michelin


Nikabaki najiuliza mbona picha alizokuwa akinitumia haziko sawa na muonekano wake halisia? Japo ilokuwa nikimsifia anajifanya kujishusha kwa kusema hizo ni picha tu mbona me wa kawaida sana!
 
Hhaha mkuu hebu acha basi.. Hahah lile sanamu aisee ahah. Yani nikikutana na hiyo kadhia aisee hizo mbio nitakazotimua naweza kuitiwa mwizi[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaaah chibonge sana nilivyokuwa natembea nae hatuendan m naonekana km mtoto
Wenzako wapo kazini we unaremba?? na hapo kakupuna 20+k😉😉😉😎

kama nakuona ulivotoa mpunga kwa hasira na bado inabidi umsindikize ukijifanya bize na simu ukipishana na sie mtaani
 
Kuna tipwa tipwa moja ova sanamu la Michelin lilitaka kuniingiza mkenge nikalizidi maarifa likabaki linaporomosha matusi kwenye simu
Nilishawahi kulivagaa miaka kadhaa iliyopita,
Picha zake zote anapiga selfie, siku ya kuja kumuona loooh sio kwa mabonde na maporomoko yale, uzuri aliona mshtuko na mfadhaiko wangu, akasema tuwe marafiki wa kawaida.
 
Picha alizonitumia huwezi amini ni boonge moja la kifaa, nikapanga nalo miadi tukutane pale Kingdom Hotel likakubali, machale yakanicheza nikatega kwa tax moja ya driver wa pale nje, mida ilipowadia mara kwa mbali naona sanamu la Michelin hiloooo linaingia na simu yangu inaita nikapokea linanambia ndio naingia hapa mlangoni nimevaa suruali ya bluu na t-shirt nyeupe unaniona?

Nikamwambia nimeshakuona nikaondoka zangu
Msitufanyie ivyo
 
Hahahaaaaaa

Tipwa tipwa mwili ghorofa maana sio nyumba tu, limejaziajazia minyama ova sanamu la Michelin


Nikabaki najiuliza mbona picha alizokuwa akinitumia haziko sawa na muonekano wake halisia? Japo ilokuwa nikimsifia anajifanya kujishusha kwa kusema hizo ni picha tu mbona me wa kawaida sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli zilikuwa picha tu..
 
Mnakosea sana mnaaokimbia wanawake kisa sura au umbo, its very wrong imo. Nadhani zipo njia zingine nzuri zaidi za kumuonyesha kuwa you're not interested lakini sio kumkimbia mtu.
 
Back
Top Bottom