sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 4,452
- 10,930
Nawasalimu wote kwa upendo na hekima pia hongereni kwa majukumu yenu ya kila siku...twende kwenye mada sasa
1. Wanaume wengi tunahangaika kujua/kufahamu hasa kwenye swala la mapenzi nyie wanawake mnapenda kitu gani kutoka kwetu..?
2. Naomba wanawake mseme ukweli mnapenda nini hasa kwa wanaume
3. Mnapenda wanaume wa aina gani,wakorofi,wapole,walokole,wasumbufu,wakatili..
4. Mnapenda mwanaume akutreat vipi?
5. Mfano mkiwa mnaishi mbali mnapenda mawasiliano yenu yawaje hasa kwenye simu??kuongea sana au kidogo tu..
Mana kuna wanaume wanasema usizoee kuongea na mkewako kwenye simu zaidi ya nusu saa!???
6. Mnapenda mwanaume awe na muonekano upi hasa uvaaji na muonekano wa mwili wake uweje yani.
7. Mnapenda kuskia kuwa mwanaume wako anamwanamke mwingine zaidi yako??mnajiskiaje mkiskia hivyo???
8. Mnapenda mwanaume ambaye haeleweki eleweki kama anakupenda au hakupendi!?yani asiyeonesha mapenzi kwa 100% kwako..
9. Mfano ukiwa mbali na mpenzi wako nini kitasababisha uchepuke?tamaa ya ngono au vishawishi na ukichepuka unajiskiaje
10. Mfano ukiwa unaishi na mume wako nini kinasababisha uchepuke ?? kama huyo mwanaume anakutumizia mahitaji kwa kadri alivyojaaliwa
11 UKIWA MBALI NA MUME WAKO UNAWEZA KUKAA MUDA GANI BILA KUFANYA MAPENZI
Kwa hayo maswali machache nawaombeni mnijibu kwa upendo na ukweli kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Wanaume wengi tunahangaika kujua/kufahamu hasa kwenye swala la mapenzi nyie wanawake mnapenda kitu gani kutoka kwetu..?
2. Naomba wanawake mseme ukweli mnapenda nini hasa kwa wanaume
3. Mnapenda wanaume wa aina gani,wakorofi,wapole,walokole,wasumbufu,wakatili..
4. Mnapenda mwanaume akutreat vipi?
5. Mfano mkiwa mnaishi mbali mnapenda mawasiliano yenu yawaje hasa kwenye simu??kuongea sana au kidogo tu..
Mana kuna wanaume wanasema usizoee kuongea na mkewako kwenye simu zaidi ya nusu saa!???
6. Mnapenda mwanaume awe na muonekano upi hasa uvaaji na muonekano wa mwili wake uweje yani.
7. Mnapenda kuskia kuwa mwanaume wako anamwanamke mwingine zaidi yako??mnajiskiaje mkiskia hivyo???
8. Mnapenda mwanaume ambaye haeleweki eleweki kama anakupenda au hakupendi!?yani asiyeonesha mapenzi kwa 100% kwako..
9. Mfano ukiwa mbali na mpenzi wako nini kitasababisha uchepuke?tamaa ya ngono au vishawishi na ukichepuka unajiskiaje
10. Mfano ukiwa unaishi na mume wako nini kinasababisha uchepuke ?? kama huyo mwanaume anakutumizia mahitaji kwa kadri alivyojaaliwa
11 UKIWA MBALI NA MUME WAKO UNAWEZA KUKAA MUDA GANI BILA KUFANYA MAPENZI
Kwa hayo maswali machache nawaombeni mnijibu kwa upendo na ukweli kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app


